Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
watu mshapiga na miswaki kabisa 🤣 🤣 🤣 hakuna tena kulala au unafua kabati zima ww?Nimekwambia kwetu kumekucha 😂😂😂
watu mshapiga na miswaki kabisa 🤣 🤣 🤣 hakuna tena kulala au unafua kabati zima ww?Nimekwambia kwetu kumekucha 😂😂😂
Haha
wahenga wanasema "sura sio roho" labda roho mbaya ipo kwenye siasa tu
Lala uote kalioLala!![]()
Nafua nusu kabati, kamba zenyewe chache halafu huku kwetu jua la kununuawatu mshapiga na miswaki kabisa 🤣 🤣 🤣 hakuna tena kulala au unafua kabati zima ww?
wapi huko kwenu kwenye jua la kununua wakati watu tunaangaika nalo huku kumbe kuna watu mnalimiss kabisaNafua nusu kabati, kamba zenyewe chache halafu huku kwetu jua la kununua
sema huyu bwana simfatilii kama nilivyokuwa namfatilia Barack Obama.Anawekewa red carpet... hapiti kwenye red carpet anapita pembeni ya red carpet...
Anafunguliwa mlango wa gari, haingii anaenda kujifungulia gari la mbele yake...
Muda wote ana mawazo tuu... anaropoka ropoka...
Cc: mahondaw
Yaan kuanzia hii April mpaka August jua uwa tunalitafuta na tochi.wapi huko kwenu kwenye jua la kununua wakati watu tunaangaika nalo huku kumbe kuna watu mnalimiss kabisa
dah mnaraha sana huku kwetu muda mwengine hata fan unaona haifanyikazi kabisa.Yaan kuanzia hii April mpaka August jua uwa tunalitafuta na tochi.
Ni huku kwetu mjuba......imeisha hiyo
😂😂😂🏃🏃🏃
Tuna imarisha ulinziaah mm nipo mbali mzee kuja hapo ni km 20+ sijui kama kunamtu wakaribu hapa
mm battery ya simu naona ndio inaishia hivyo nina 17% nitakuacha mzee mpaka majogoo ufike.Tuna imarisha ulinzi
😀😀😀 ila Dar raha, kopo la lotion unatumia miezi 7+dah mnaraha sana huku kwetu muda mwengine hata fan unaona haifanyikazi kabisa.
Hahamm battery ya simu naona ndio inaishia hivyo nina 17% nitakuacha mzee mpaka majogoo ufike.
🤣🤣🤣 kwani ww huwa unatumia miezi mingapi kopo 1 huko kwenu?😀😀😀 ila Dar raha, kopo la lotion unatumia miezi 7+
🤣🤣🤣🤣 ila hiyo meme hainihusu mm kabisa.Haha
Wabongo wengi kulala kwao kunategemea asilimia za chaji kwenye simu zao.....sijui nilionaga wapi hiyo meme
Mmoja tu nikijitahidi mmoja na week mbili (kopo kubwa halafu ilo) 😀😀🤣🤣🤣 kwani ww huwa unatumia miezi mingapi kopo 1 huko kwenu?
Unahusika 💯🤣🤣🤣🤣 ila hiyo meme hainihusu mm kabisa.
🤣 🤣 🤣 🤣 ukija dar au kama unashost yako muagizie tu kwakwenu huko chukua dozen kabisa iliusipate tabu.Mmoja tu nikijitahidi mmoja na week mbili (kopo kubwa halafu ilo) 😀😀
Sasa Dar unapakaa we kopo haliishi mpaka lotion yenyewe unaichoka.
hamna mm natumia PC nimeunga na wireless ya simu tu muda wote charge inawezaisha nikaweka series mpaka saa 12 hapa.Unahusika 💯
17% ndio zitakufanya ulog out JF