Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Mbona unacheka sasa, 'mjomba katangaza ndoa huko' .... Gusanisha

Mbona unacheka sasa, 'mjomba katangaza ndoa huko' .... Gusanisha

Umemaliza kusoma?
Ndio unatakiwa utafute njia mbadala sasa.
HahahaMbona unacheka sasa, 'mjomba katangaza ndoa huko' .... Gusanisha![]()
Kabisainaonesha hii sio kawaida kwako kabisa?
Hajakizi vigezo na masharti?Kabisa
Huu ndio usiku wa manane sasa
Haha wala me nimegusanisha tu hasi na chanyaMbona sasa kama ushaanza kumbagua tena!
ID yako imekaa kama student hivi
Haha wala me nimegusanisha tu hasi na chanya
Watu tunataka tuluke majoka we ujagusanisha sasa.Naona hii miezi ndio tutaanza kuchangishana shughuli zitakuwa nyingi sasa mwaka unachanganya + corona
Nasubiri wakubaliane nisheherekeeMbona unacheka sasa, 'mjomba katangaza ndoa huko' .... Gusanisha![]()
Haha.Watu tunataka tuluke majoka we ujagusanisha sasa.
Naona hii miezi ndio tutaanza kuchangishana shughuli zitakuwa nyingi sasa mwaka unachanganya + corona

mie hata sikuchangishi yetu na kizee changu ni ile ya njoo tuishi.