Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Nitaipumzisha kwa chest akeha ha ha unawezakuwa unaipumzisha kwanza
Toa nguo ufue 😆😆
Basi karibu kwenye ulinzi shirikishi huu umepeana shift na simiss
Hapa ww kulala saa 10 tena.
NdioUnamaanisha uoga?
ha ha haNitaipumzisha kwa chest ake
Asijali atapata imebaki yeye kulazwa tu
Utafika mpaka saa 9 hutaamini kabisa.2:30 kimasihara tu![]()
mkuu karibu shift
Kiafya ni masaa 8 unatakiwa kulala.Wazee wanasema,'ukitaka uzeeke mapema usipende kulala'
Kumi na mbili tena..maana jicho jeupe.Hapa ww kulala saa 10 tena.
Ilasio mbaya kesho ni weekendSawa mkuu,ngoja nikaunge juhudi za usingiziKiafya ni masaa 8 unatakiwa kulala.
NaelekeaUtafika mpaka saa 9 hutaamini kabisa.