Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Vitunguu swaumu..naona Sasa vimeamua vifanye kaziUmeweka nn humo tumboni mbona unalalamika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vitunguu swaumu..naona Sasa vimeamua vifanye kaziUmeweka nn humo tumboni mbona unalalamika?
Hivyo ulivyo inatosha..unene niachie MimiKwahiyo hutaki ninenepe![]()


DahRaisi kakataza mkusanyiko wa watu..na baby kasema hakuna chakula.
Sent using Jamii Forums mobile app


ulisikia hotuba ya jana madiwani wanafanya vikao mbona kwahiyo hii shughuli itakuwa kama ya madiwani vile.Vinasaidia nn huko tumboni usiku huu wote?
Dahulisikia hotuba ya jana madiwani wanafanya vikao mbona kwahiyo hii shughuli itakuwa kama ya madiwani vile.



ewaaaahNimeweka mziki, nahisi huu utanileta usingiziHongera kama umepata usingizi.
Vinanivuruga tu..nahisi vinataka kutoka kwa njia ya longcallVinasaidia nn huko tumboni usiku huu wote?
Hii jamani sasa shela itaakaje 😀
Mbaya zaidi muda haukusubiri sasa unakwenda tu saa 10 inakuita kabisa.Nimeweka mziki, nahisi huu utanileta usingizi



Hii jamani sasa shela itaakaje![]()
Natakiwa niongezeke kidogo


angalia tu kisiongezeke kitambiMacho yashakuwa mazito leta maneno mazuri nipate usingiziNyie mlale jamani
Na kimeshaanza kwa mbali


Usimsikilize huyo mjinga kashala teyari anakoroma huko kama baba mwenye nyumba.Amarula - Roberto 🎼
Naona unafurahia ss kutokula si roho mbaya hii I'd ya mtu hii
