JamiiForums Usiku wa manane
The second basic law of human stupidity states that"The probability that a certain person be stupid is independent of any other characteristic of that person."

Anamaanisha kwamba, uwezekano wa mtu kuwa mpumbavu haitegemeani na sifa nyingine za mtu huyo,kwa maana kwamba,mtu anaweza kuwa kiongozi, msomi, mwanaume,au mwanamke,mkubwa au mzee,ana degree au ana Phd, lakini bado anaweza kuwa stupidy
Mwandishi anahitimisha kwa kusema kwamba mtu mpumbavu amezaliwa hivyo hivyo mpumbavu, ndivyo alivyoumbwa.
Aisee
 
Back
Top Bottom