Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Acha kuzingua ww unataka uje kua dobi au

Acha kuzingua ww unataka uje kua dobi au

Yaleyale ya nyamakama unayakumbuka
umenikumbusha first day sio..nilipagawa
ww si unazingua unapeleka mawazo mbali sanaWewe siyo sisista duuh wa pizza,chips,baga......makande huyawezi.....umenikumbusha makande
![]()
Ahusista duu unatoka wapi sisi tushazeeka bwana mambo ya vijana hayoWewe siyo sisista duuh wa pizza,chips,baga......makande huyawezi.....
Mkuu aliyasema wakati ni waziri,mimi nikiwa Rais mtalimia meno









Dah basi huyu mzee ni kavu kweli.Huwa unakula wewe miss dietumenikumbusha makande
![]()
Ndio ila sijayala nna miaka mi2Huwa unakula wewe miss diet
Ndo kinachotokea leo sssisi ni foodie tu

ila Super Villain anapenda menyu sana asee na cha ajabu sio kibonge.mwili hauna shukrani yaaniNilidhani upo kwenye rika la 20's kumbe mzee mwenzangu 50's,hapo kande unazijua tuAhusista duu unatoka wapi sisi tushazeeka bwana mambo ya vijana hayo
Kande la ngano uwiiiii
Acha uroho we mzee![]()


jama alochanganyikiwa alivyosikia banana n meatNilikuwa naona vitu vya mafta mftaaahh tu..ikabidi niwaulizeAcha uroho we mzee![]()




mwili naukunja nautia kwenywe mfukoAhaa sawa tupo tupo bdo
Wakishua utawajua tuNdio ila sijayala nna miaka mi2
