JamiiForums Usiku wa manane
Nimegundua hata nikiwa sina kazi siwezi lala masaa 5 mfukululizo lazima niamke.
Nimemiss zile moment kulala saa 2 au 3 kuamka saa 12 asubuhi.
Kweli ukubwa jalala.
Ukichoka kupitiliza na ukaamua kujipa off ya siku upumzike huwa inatokea. Ila kama unataka zile za stress free ni ngumu kama umri ushasogea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila shaka kabisa tunafuata maelezo.
Muhimu sana hii
IMG-20200320-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom