Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Nikweli mkuuToka Feb nilishaona hii kitu muda unakimbia sana na mambo haya sogei inabidi upush tu kivyovyote vile mpaka iwe ndio kilichobaki.
Bhana we ndugu yangu Morocco hapo Kinondoni siunajua nchi yetu hii majina kibao ya watu na miji ya wenzetu ndio tunatoa kwenye vituo vyetu vya usafiri.nimeikuta tu sehemu,mkuu nipo kijijini ukisema morroco nikadhani kule kwa waarabu.....huko dasalama nakusikia kupitia media tu
Kwema tu hapa karibu tukeshe.naona I'd mpya mpya
kwema hapa?
Vizuri
Huku Tarime nitajua wapi....Bhana we ndugu yangu Morocco hapo Kinondoni siunajua nchi yetu hii majina kibao ya watu na miji ya wenzetu ndio tunatoa kwenye vituo vyetu vya usafiri.
shukranKwema tu hapa karibu tukeshe.
Usiku mwema wanalindo,Mungu aendelee kutulinda na hili janga,tuache ubishi wa kunawa mikono........
Super Villain kesho naamsha mapema ngoja nilale
View attachment 1394368



kila nikiitazama hii picha huwa nawaza tofauti na watu wanavyo waza huwa sichukulii kama huyu mwana alikuwa analeta utani lakini ni kwamba hakuwa na hela tu ya kununua mask na kuweza kujikinga aliona hii ndio solution iliobaki na ni rahisi kwauwezo wake.Bhana we maisha kokote kule utafika tu siku moja uzuri upo hapa hapa Tz sio kwamba upo nje ya nchi huwezi kuja au kufika.Huku Tarime nitajua wapi....
ALishuka kino Manyanya huyu.Huyu fala alikuwa anaelekea wapi atakuwa anaelekea Morocco huyu![]()
Ee ni rabat😂😂😂😂nimeikuta tu sehemu,mkuu nipo kijijini ukisema morroco nikadhani kule kwa waarabu.....huko dasalama nakusikia kupitia media tu
Okay mkuu,huko hukoEe ni rabat
ALishuka kino Manyanya huyu.
Huyu ni mwana . Si unamuona kabisa kashakula vitu hana hata habari yaani



Kabisa.Haya