JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Ile mambo yaani nimesubiri hadi nimekata tamaa. Ila nakumind kinoma. Hadi utamu unexpire mi sijautia machoni [emoji35][emoji35][emoji35]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aah ile mission Impossible mzee wangu maana ilikuwa siku 17 zimepita kuipata ilikuwa ni ngumu kidogo lakini ingekuwa siku 3 au 5 mapema sana ningekusogezea sema kausha mwana.
 
Back
Top Bottom