Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Hata sijajua sasa eti
Mshaanza kuleta habari zenu sasa.Huyu chalii ni matata kinoma hasa siku kama ya leo
Ningekunywa Pepsi tu nikapata hypeleo umepewa kitu gani mzee..hii mood sio ya bure

Ile mambo yaani nimesubiri hadi nimekata tamaa. Ila nakumind kinoma. Hadi utamu unexpire mi sijautia machoniBasi sawa umesomeka



Nimeamua kulala kwenye coach leoDah hongera sana, si kazi ndogo hio
Leo nipo collabo na mwana lazima tukupe kubwa tuMshaanza kuleta habari zenu sasa.


UnazinguaNingekunywa Pepsi tu nikapata hype![]()




Aah we hiyo hofu sina kabisa maana maelezo yamenyoka ngoja mwamba aje atubu hapa ndio utaamini sasa.Mwaga hapa kama una uhakika na ulichokifanya. Mbona hujiamini chalii. Unaogopa ogopa utafikiri unaoga nje
Umeona eee. Halafu ni kama vile kapoa Coronaleo umepewa kitu gani mzee..hii mood sio ya bure





Atakuwa kapona Corona maana juzi na jana alikuwa mnyonge kinoma nomaKijana leo ana good mood..kuna kitu kapewa huyu leo
Ile mambo yaani nimesubiri hadi nimekata tamaa. Ila nakumind kinoma. Hadi utamu unexpire mi sijautia machoni
Sent using Jamii Forums mobile app



Aah ile mission Impossible mzee wangu maana ilikuwa siku 17 zimepita kuipata ilikuwa ni ngumu kidogo lakini ingekuwa siku 3 au 5 mapema sana ningekusogezea sema kausha mwana.Smisis jibu hili hapaHumu ni kupoteza muda tu maana wengine tumeshalowanisha kitanda hakilaliki.

2 in 1 unaijua ww?Miyeyusho huyuUnazingua
Hapa nilipita mara moja..naangusha gari muda si mredu