uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,789
- 4,451
Duh,lala
Duh,lala
Hahahaha, we binti kweli popo
03:17
Unaniita shem unataka kuninyima nini?Dah... Shem upo?
Sent using Beretta ARX 160
Nani alisema ukiwa bachelor ndio hufanyi?Aaghh wapi, I am a Senior Bachelor Rafiki
Dah...Unaniita shem unataka kuninyima nini?

MimiNani alisema ukiwa bachelor ndio hufanyi?
Famasia umesomea wapi ww uweze kujua kama mzigo ni vambaTupe huo ujuzi na sisi pia tuevalauate kama somo limeeleweka vyema.
Sent using Jamii Forums mobile app

Aah nahusika vp tena na hayo maneno mzee wangu.



we jamaa kavu sana ujue.Wewe jombaa mbona una mbwembwe sana na lindoFamasia umesomea wapi ww uweze kujua kama mzigo ni vamba![]()
Kwema mkuu...
DahWewe jombaa mbona una mbwembwe sana na lindo
mm huyo mzee wangu?Gud niaje babu?
Umeanza mapema sana mzee yaani kama ulilisubiria bogi la weekend kwa hamuDahmm huyo mzee wangu?
