Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Unanijua unaniskia


gud boi yeah kumbe na ww unapenda Hip Hop basi sawa.Unanijua unaniskia


gud boi yeah kumbe na ww unapenda Hip Hop basi sawa.Dah mm nilikuwa sijui babu apumzike kwa amani.Yeah alipata ajali mbaya ya Gari
Maeneo ya kibaha
Huwa namkumbuka sanaa nikiuona huu uzi
Sent using Jamii Forums mobile app


aah pumbafu sana ww atakuja ajibu hizi tuhuma zako wait n see.
Anaambiwa te quiero muche![]()
gud boi yeah kumbe na ww unapenda Hip Hop basi sawa.


sio fan mzee ila napenda good music yoyote ile japo dance hall inanikamata juu kiasi kuliko genre zingineUmeniambukiza kuchangamkaaah pumbafu sana ww atakuja ajibu hizi tuhuma zako wait n see.


. Itabidi unijibie tuhuma, kwa nini umenifundisha tabia mbayamm ni Hip Hop, RnB na Pop ndio napendelea sana.sio fan mzee ila napenda good music yoyote ile japo dance hall inanikamata juu kiasi kuliko genre zingine
Tabia mbaya unazijua wwUmeniambukiza kuchangamka. Itabidi unijibie tuhuma, kwa nini umenifundisha tabia mbaya


? Alafu unanisingizia usiku wote huu mm ndio nimekufundisha!.Mimi zinaenda na moods mzee.. kuna siku naweza shinda naskiiza aina moja ya muziki ila sio taarabmm ni Hip Hop, RnB na Pop ndio napendelea sana.
Usijisahaulishe mkuu.. kumbuka nilikuwa mtu straight forward ila ww ukanifundisha kuchangamkaTabia mbaya unazijua ww? Alafu unanisingizia usiku wote huu mm ndio nimekufundisha!.
Mimi zinaenda na moods mzee.. kuna siku naweza shinda naskiiza aina moja ya muziki ila sio taarab


mipasho hutaki na zile wanazovaa dera kule kwenu TMK zinapigwa sana.mipasho hutaki na zile wanazovaa dera kule kwenu TMK zinapigwa sana.


nikisema sizijui ntakuwa muongo maana casettes zilikuwa kibao. Na kuna zingine zinaskiizwa kila mara hadi unaikariri vizuri tuBasi njoo pm huku utume hela ya supu ya kongoroUsijisahaulishe mkuu.. kumbuka nilikuwa mtu straight forward ila ww ukanifundisha kuchangamka

Hilo tu.. nakuja ila unitumie namba na nakala ya kitambulisho chako cha NidaBasi njoo pm huku utume hela ya supu ya kongoro![]()
nikisema sizijui ntakuwa muongo maana casettes zilikuwa kibao. Na kuna zingine zinaskiizwa kila mara hadi unaikariri vizuri tu

vp kisingeri mwamba?Vyote vinausika na nn tena hivyo namba ya simu inatosha tu hiyo ya nida umeshakuwa tapeli siku hizi ww?Hilo tu.. nakuja ila unitumie namba na nakala ya kitambulisho chako cha Nida
vp kisingeri mwamba?

hizo nazijua baadhi pia ila sio fan mkuu.. maana style zake za uchezaji tu ni kwikwi plus sihudhurii vigodoroVyote vinausika na nn tena hivyo namba ya simu inatosha tu hiyo ya nida umeshakuwa tapeli siku hizi ww?


vigezo na masharti kuzingatiwaTmk ndio kwenye huko kwa visingeri mnaongoza dar nzima.hizo nazijua baadhi pia ila sio fan mkuu.. maana style zake za uchezaji tu ni kwikwi plus sihudhurii vigodoro