JamiiForums Usiku wa manane
Naishi nao .. mtu hana hata senti lakini hanyenyekei mtu
Ukiwa fukara kamwe huwezi kuwa kiburi
Maskini jeuri ni msemo tu
Usiuweke kwenye akili
Mwanaume kuwa tajiri ni kama demu kuwa mzuri
Demu wako akiwa kwenye kioo we piga simu utafute deal
Hela hazilali so ukilala wewe tu
Na zina kasi ya kutengenezwa hazikungoji uamke mkuu

Unaijua hiyo nyimbo? Na hiyo verse aliimba nani?
 
Ukiwa fukara kamwe huwezi kuwa kiburi
Maskini jeuri ni msemo tu
Usiuweke kwenye akili
Mwanaume kuwa tajiri ni kama demu kuwa mzuri
Demu wako akiwa kwenye kioo we piga simu utafute deal
Hela hazilali so ukilala wewe tu
Na zina kasi ya kutengenezwa hazikungoji uamke mkuu

Unaijua hiyo nyimbo? Na hiyo verse aliimba nani?
Unanijua unaniskia
 
Back
Top Bottom