Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057


sasa chakula kilichobaki ulichokula saa 2 au 3 saiz sikipolo hiko tena.

sasa chakula kilichobaki ulichokula saa 2 au 3 saiz sikipolo hiko tena.Unamuda gani unaishi na hii hali ya kukata usingi?Sasa mbona Mimi sishtukishtuki..usingizi unakata tu mara moja Kisha baada ya muda kidogo nalala tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wajua nimesahau Kama tuko siku ya pili..mwe mweh mweeh..uzee huu.sasa chakula kilichobaki ulichokula saa 2 au 3 saiz sikipolo hiko tena.


Ooh angalia usije ukaamsha walio lala huko ukapata kibarua cha kuwabembeleza saiz.Kama week mbili hiviUnamuda gani unaishi na hii hali ya kukata usingi?
Hivi wajua nimesahau Kama tuko siku ya pili..mwe mweh mweeh..uzee huu.
Sent using Jamii Forums mobile app



umelala we ulivyoamka unajua muda bado ndio ule ule saa 4 au saa 5 hii.Ooh angalia usije ukaamsha walio lala huko ukapata kibarua cha kuwabembeleza saiz.


Nani abembeleze..!! Mwenyewe nataka bembelezwa nipate usingizi ..etiWe yna2 mi sijalala mkuu
Hivi wajua nimesahau Kama tuko siku ya pili..mwe mweh mweeh..uzee huu.
Sent using Jamii Forums mobile app


uzee unautolea wapi ww bado kijana kabisa unategemewa bado ni nguvu ya taifa ww.umelala we ulivyoamka unajua muda bado ndio ule ule saa 4 au saa 5 hii.




Yani najua bado saa tano kumbe saa kumi kasoro..ila mbona we hulali?We yna2 mi sijalala mkuu
naona leo umejitahidi kukamata lindo kweli kweli
Sent using Jamii Forums mobile app

kwakweli nimejitahidi mno Nani abembeleze..!! Mwenyewe nataka bembelezwa nipate usingizi ..eti
Sent using Jamii Forums mobile app


kwani mwenye jukumu lake siyuko pembeni hapo anakoroma tu saiz hapo.Ukilala na mm napiga zangu ibada ndio nalala.Yani najua bado saa tano kumbe saa kumi kasoro..ila mbona we hulali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa pembeni unadhani hata lindoni ungeniona ..!! Thubutuuu Yani yeye alale Mimi nikeshe..Nani kasema.kwani mwenye jukumu lake siyuko pembeni hapo anakoroma tu saiz hapo.
Angekuwa pembeni unadhani hata lindoni ungeniona ..!! Thubutuuu Yani yeye alale Mimi nikeshe..Nani kasema.
Sent using Jamii Forums mobile app
hayupo ameenda wapi sasa?Muda si mrefu natoka lindoni . Kisimu changu kinakata Moto dk chache zijazo..najionea hurumaUkilala na mm napiga zangu ibada ndio nalala.
Unajionea huruma ya nn tena? Usiku wote huu.Muda si mrefu natoka lindoni . Kisimu changu kinakata Moto dk chache zijazo..najionea huruma
Sent using Jamii Forums mobile app


basi usijali mpaka Valentine's utakuwa umeshampata.Jinsi nitakavyoburuzika na shuka..maana usingizi Sina simu inazima Moto..embu nifanyie maombi nipate lala mwenzioUnajionea huruma ya nn tena? Usiku wote huu.