JamiiForums Usiku wa manane
hivi uongo huwa na wakati eeh!! Sijaogopa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Ee muda kama huu uwongo unatakiwa uwe kidogo sana kushinda mchana maana mchana ndio unanoga nakunoga mfano ukiwa karibu hata na shosti yako jirani pale mnaweza hata kugonga mikononi lakini saiz huwezi maana watu wamelala ukigonga unaamsha watu.
 
hivi uongo huwa na wakati eeh!! Sijaogopa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Ee muda kama huu uwongo unatakiwa uwe kidogo sana kushinda mchana maana mchana ndio unanoga nakunoga mfano ukiwa karibu hata na shosti yako jirani pale mnaweza hata kugonga mikononi lakini saiz huwezi maana watu wamelala ukigonga unaamsha watu.
 
Back
Top Bottom