Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Heeh! Kumbee..asiufuate aisee..asije shindwa lala bure.Ooh Sio watu wote wanajua vitu eti ndio maanakaingia na gia ya kuomba ushauli eti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heeh! Kumbee..asiufuate aisee..asije shindwa lala bure.Ooh Sio watu wote wanajua vitu eti ndio maanakaingia na gia ya kuomba ushauli eti.
Leo umedhamilia kufunga lindo nn maana muda kama huu unakuwa umeshalala ww.


umejuaje.!! usingizi Kama kawaida umekata..hapa kuupata usingizi hadi kumi na moja

kumbe ww ni muoga hivyo? Atakuwa Kashalala huyo saiz muda wote huo angeshakujibi teyari mbona.Usingizi wako wamateso sana unalala alafu unakata inaonekana unakuwa na mawazo wengi sana kichwani mwako hulali ukiwa comfortable ww?umejuaje.!! usingizi Kama kawaida umekata..hapa kuupata usingizi hadi kumi na moja
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe ww ni muoga hivyo? Atakuwa Kashalala huyo saiz muda wote huo angeshakujibi teyari mbona.



hata si muoga eti..ni vile tu najali afya za wengine Mr.chinese food leo sijamuona..sijui Corona imeshafanya kazi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app


hayupo China yule. Kachoka huko halipo angeshaonekana maana kwao ni USA saiz ni saa 12 jioni.Usingizi wako wamateso sana unalala alafu unakata inaonekana unakuwa na mawazo wengi sana kichwani mwako hulali ukiwa comfortable ww?

hamna bwana Sina mawazo kiivyo..ila hutokea Mara moja moja kukatika kwa usingizi.

unataka kuniongopea usiku wote huu wakati nimeona tu ulivyo shituka baadaya kukutisha kidogo tu.Nilijuaga yu China eti..dunia bwana.wengine tunastruggle na usingizi mwenzetu ndiyo kwanza giza laingia.hayupo China yule. Kachoka huko halipo angeshaonekana maana kwao ni USA saiz ni saa 12 jioni.
unataka kuniongopea usiku wote huu wakati nimeona tu ulivyo shituka baadaya kukutisha kidogo tu.



hivi uongo huwa na wakati eeh!! Sijaogopa weweKukiwa na kitu kichwani kinasumbua huwezi kulala kwa raha unalala huku unashitushituka.hamna bwana Sina mawazo kiivyo..ila hutokea Mara moja moja kukatika kwa usingizi.
Sent using Jamii Forums mobile app


saiz hata kuanza kuangaika chakula cha usiku bado muda kwao huko ss huku teyari tuko na vipolo vyetu.
Nilijuaga yu China eti..dunia bwana.wengine tunastruggle na usingizi mwenzetu ndiyo kwanza giza laingia.
Sent using Jamii Forums mobile app
saiz hata kuanza kuangaika chakula cha usiku bado muda kwao huko ss huku teyari tuko na vipolo vyetu.


kiporo usiku huu?? 

Ee muda kama huu uwongo unatakiwa uwe kidogo sana kushinda mchana maana mchana ndio unanoga nakunoga mfano ukiwa karibu hata na shosti yako jirani pale mnaweza hata kugonga mikononi lakini saiz huwezi maana watu wamelala ukigonga unaamsha watu.

Ee muda kama huu uwongo unatakiwa uwe kidogo sana kushinda mchana maana mchana ndio unanoga nakunoga mfano ukiwa karibu hata na shosti yako jirani pale mnaweza hata kugonga mikononi lakini saiz huwezi maana watu wamelala ukigonga unaamsha watu.Ee muda kama huu uwongo unatakiwa uwe kidogo sana kushinda mchana maana mchana ndio unanoga nakunoga mfano ukiwa karibu hata na shosti yako jirani pale mnaweza hata kugonga mikononi lakini saiz huwezi maana watu wamelala ukigonga unaamsha watu.



umejua nifurahisha kweli tena