Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
basi usijali mpaka Valentine's utakuwa umeshampata.


ameen..au sijui nisiongeze na Uzi wa kutafuta patina?
Sent using Jamii Forums mobile app
basi usijali mpaka Valentine's utakuwa umeshampata.


ameen..au sijui nisiongeze na Uzi wa kutafuta patina?
Usijali hilo tu nitakusaidia kukuweka kwenye maombi yangu ulale mpaka saa 3 asubuhi.Jinsi nitakavyoburuzika na shuka..maana usingizi Sina simu inazima Moto..embu nifanyie maombi nipate lala mwenzio
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooohhh!! HallelujahUsijali hilo tu nitakusaidia kukuweka kwenye maombi yangu ulale mpaka saa 3 asubuhi.
ww tu upendavyo kama naona watu wanavyo jimwambafayi kwenye huo uzi hapo
wakishindana kukupata.ww tu upendavyo kama naona watu wanavyo jimwambafayi kwenye huo uzi hapowakishindana kukupata.



vigezo na masharti vitazingatiwa.Sijui ni kwann wanawake mnapenda sana kuwekwa kwenye maombi ya wengine huwa hamjiamini kabisa kusimama mkifanya yenu au ndio imani haba?


yote yanawezekana..Unaweza ukaweka vigezo ukampata unayemtaka lakini asiwe na upendo wa dhati kwako ndipo mnapofeli hapo.
Tatizo hilo unatakiwa ujenge msingi wa imani yako sasa utakuwa unaombewa mpaka lini? Unatakiwa ujifunze kujisimamia na ww kwenye maombi yako.
Ila ujue vigezo muhimu..hayo mengine yatakuja automaticallyUnaweza ukaweka vigezo ukampata unayemtaka lakini asiwe na upendo wa dhati kwako ndipo mnapofeli hapo.

huko online
Hivi unadhani wanawake hatujiombei..??!! Tunajiombea na kusimama wenyewe tunaweza ..ila tuna amini pia hata mtu mwingine anaweza kukushirikisha kwenye maombi na yakapokelewa.Tatizo hilo unatakiwa ujenge msingi wa imani yako sasa utakuwa unaombewa mpaka lini? Unatakiwa ujifunze kujisimamia na ww kwenye maombi yako.
Nategemea kuuona kesho huo uzi ukiwa hewani na ss tufanye applicationhuko online



unikumbushe pakikucha maana msahaulifu Mimi..utashangaa Valentine's imepita ndiyo nakumbuka Maelezo mazuri nilitaka kujua tu kama unamsingi mzr wa iman na kuamini unachokiamini.Hivi unadhani wanawake hatujiombei..??!! Tunajiombea na kusimama wenyewe tunaweza ..ila tuna amini pia hata mtu mwingine anaweza kukushirikisha kwenye maombi na yakapokelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nita kutumia jumbe pm yako muda saa hii wa kuipandisha hewani hiyo thread yako.unikumbushe pakikucha maana msahaulifu Mimi..utashangaa Valentine's imepita ndiyo nakumbuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado lisaa tu lindoni pafungwe hapa.
Ewaaaah!! Utakuwa umenisaidia sanaNita kutumia jumbe pm yako muda saa hii wa kuipandisha hewani hiyo thread yako.
Ila lindo la leo limepea hatari..pipo hazipo kabisa.Bado lisaa tu lindoni pafungwe hapa.


ww kazi yako tayarisha tu huo walaka.