Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Hiyo kubeba kwake sio mchezo unaweza lalamika nja baadaye hapo.Mie Niko na Sub Machine Gun
Sent using OPPO Mobile Phone
Hiyo kubeba kwake sio mchezo unaweza lalamika nja baadaye hapo.Mie Niko na Sub Machine Gun
Sent using OPPO Mobile Phone
Umefungua lindo alafu umekimbia saiz ndio unarudi kwa kuchungulia
Sent using OPPO Mobile Phone

hiyo ndio michezo ya siri sasatatizo hilo ujue.
mchezo ambao unaongoza kuwa na mashabiki wengi huo.hiyo ndio michezo ya siri sasa
Karibu chukuaWalinzi wenzangu nipo lindoni.
hiyo itakusaidia kumulika mulika lindoni hapa.sawa ila mwenzetu unalinda nini coz mimi namlinda boss na mkeweWalinzi wenzangu nipo lindoni.
hahah sasa tumeelewana mkuu ngoja nipige funda moja la ziadamchezo ambao unaongoza kuwa na mashabiki wengi huo.
Karibu chukuahiyo itakusaidia kumulika mulika lindoni hapa.
sawa ila mwenzetu unalinda nini coz mimi namlinda boss na mkewe
hahah sasa tumeelewana mkuu ngoja nipige funda moja la ziada

upo jirani na nyumbani lakini usije ukawa unapiga alafu ukaenda kudrive ikawa hatari zaidi kwako?sawa ila usije ukalala tuhMimi nawalinda watoto wa boss wako.
saa 10 alfajiri tu hapo nitakuwa nishaanza kutepeta.Mkuu zamu yako inaisha saa ngapi? Mimi inaisha saa 2 asubuhi. Tupeane kampani tusisinzie tukapoteza kibarua.
nipo maskaniupo jirani na nyumbani lakini usije ukawa unapiga alafu ukaenda kudrive ikawa hatari zaidi kwako?
Kama upo hapo ww piga vitu tu mpaka monie vikiisha ntatuma gari wavilete hapo.nipo maskani
sawa mkuu ila naenda speed ndogo ili vinisogeze hta saa 11Kama upo hapo ww piga vitu tu mpaka monie vikiisha ntatuma gari wavilete hapo.
Safi huo ndio mwendo wa kikubwa unaonesha ukongwe kwenye tasinia.sawa mkuu ila naenda speed ndogo ili vinisogeze hta saa 11
Ajaribu aoneachana na hizo methali na nahau za wahenga siku hizi hazifanyikazi kabisa unampoteza mwenzio kwa ushauli huu.
Unampoteza

haiwezekani unaumwa malaria ww ukampa dawa ya typhoid.