Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Njoo PM niirekebishe akili mtoto mrembo mwenye kasoro moja tu ambayo ni urembo wako.
duh sawa mkuu ila naimani utakuwa mtumishi kama mwamposahapana sigusi kabisa kitu chenye alcohol mdomo wangu unataka vitu vya sukari tu.
Vyema..zakwenda fresh tu.. alhamdulillahNiko okay, mishe za maisha zinakwendaje?
zima simu, zima taa, jifunike shuka kuanzia miguuni hadi kichwani na fumba macho kisha waza yale mazuri uliyofanya leo.
duh sawa mkuu ila naimani utakuwa mtumishi kama mwamposa

hapana nipo 50-50 ni misimamo tu unajiwekea tu mtu kuwa kitu fulani sivutiwi nacho tu hapa nilipo kuna wine nyingi tu lakini sijagusa hata moja.
sindio unamfanya akeshe kabisa
akinywa hiyo!Vzr kama kila kitu gud kinaenda.
sawa mkuu ila najua utakuwa na starehe tuh ila ni ya sirihapana nipo 50-50 ni misimamo tu unajiwekea tu mtu kuwa kitu fulani sivutiwi nacho tu hapa nilipo kuna wine nyingi tu lakini sijagusa hata moja.
Hii njia sijawahi jaribu kabisa ajaribu lakini anaweza akafanikiwa.zima simu, zima taa, jifunike shuka kuanzia miguuni hadi kichwani na fumba macho kisha waza yale mazuri uliyofanya leo.
shukrani utanipa kesho ukiamka
sawa mkuu ila najua utakuwa na starehe tuh ila ni ya siri
ipi hiyo starehe ya siri hapa duniani?zipo starehe za siri japo zinajulikanaipi hiyo starehe ya siri hapa duniani?
zipo starehe za siri japo zinajulikana


duniani kuna vitu vya siri dhama hizi kweli maana mambo yapo hadharani tu siku hizi.Leo weekend umefunguliwa. Shika zamu wengine tulale




achana na hizo methali na nahau za wahenga siku hizi hazifanyikazi kabisa unampoteza mwenzio kwa ushauli huu.Mie Niko na Sub Machine GunBasi tulia leo huku umeingia kwa walinzi humu kuna AK 47,M16,M24,M41,Micro uzi shot gun, sniper raifle unachagua ipi hapo.

ujawahi ambiwa tufanye ila kwa siri 😃😃😃duniani kuna vitu vya siri dhama hizi kweli maana mambo yapo hadharani tu siku hizi.