JamiiForums Usiku wa manane
zima simu, zima taa, jifunike shuka kuanzia miguuni hadi kichwani na fumba macho kisha waza yale mazuri uliyofanya leo.

shukrani utanipa kesho ukiamka
Hii njia sijawahi jaribu kabisa ajaribu lakini anaweza akafanikiwa.
 
Back
Top Bottom