minded tips
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 502
- 871
Basi tulia leo huku umeingia kwa walinzi humu kuna AK 47,M16,M24,M41,Micro uzi shot gun, sniper raifle unachagua ipi hapo.Mkuu yaaan mimi ndo kwaanzaaa.....
Sema huwa siji huku.....ila usiku wa manane huwa nakuws majukwa mengne.....
Kwani ww sio mwananchi wa RC!Nitawasikiliza kama radio maria na zingine za rc zikiwa hazipo..
MK 47 mkuu, ni hatari zaidi......Basi tulia leo huku umeingia kwa walinzi humu kuna AK 47,M16,M24,M41,Micro uzi shot gun, sniper raifle unachagua ipi hapo.
mimi mtoto wa katekista hommie af mwezi wa upendo huu.. namkirimu mgeni tuUnamkaribisha kilaini hivyo kama aingia maghetoni bhana mpe dhana za ulinzi au kama vp pushapu za 1500 ata kwata ikibidi umchangamshe.
Bhasi uwe unakaribia huku pia kwa walinzi wenzakoMkuu yaaan mimi ndo kwaanzaaa.....
Sema huwa siji huku.....ila usiku wa manane huwa nakuws majukwa mengne.....
Msaidie ili awe mbali na wewe vizuri sio umsaidie awe karibuMbona kama sijaelewa japokuwa kilichoandikwa ni lugha ya taifa au niusingizi ninao!
Basi safi ishinayo utalinda mlimani city hapo ukimuona bwege yeyote anashangaa shangaa haeleweki hapo chapa risasi nyingi tu.MK 47 mkuu, ni hatari zaidi......
Ukiona mtu anatengeneza mazingira ya kukaa mbali nawe msaidie... ukiona mtu anatengeneza umbali kati yenu bhasi soma alama za nyakati na uchape lapaMbona kama sijaelewa japokuwa kilichoandikwa ni lugha ya taifa au niusingizi ninao!
Upendo! Huu mwezi ndio utajua kuwa ww ni mchepuko au ndio mke au mume maana unaweza usiletewe hata uwa la tembele.mimi mtoto wa katekista hommie af mwezi wa upendo huu.. namkirimu mgeni tu

hapo nimekuelewa sasa acha nikae humo nitakaa naye mbali kama mita 1000 hv.Hahaaaaa ukiwa chepo unatulia tu. Kwanza sijawahi letewa ua mimiUpendo! Huu mwezi ndio utajua kuwa ww ni mchepuko au ndio mke au mume maana unaweza usiletewe hata uwa la tembele.
Aah hapo nimekuelewa mwamba.Ukiona mtu anatengeneza mazingira ya kukaa mbali nawe msaidie... ukiona mtu anatengeneza umbali kati yenu bhasi soma alama za nyakati na uchape lapa
Hivi sasa ni saa sita na dakika 49
Ni siku moya ya jumaamosi tayari.
Nimekesha siku ya tatu leo kwa sababu jana na leo zimenikuta nikiwa macho.
Enjoy yourself.
Naomba kuwasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah acha nikucheke kwanzaHahaaaaa ukiwa chepo unatulia tu. Kwanza sijawahi letewa ua mimi

baba ako nilipewa mara moja tu na card nikiwa sec kwahali hii iliopo sasa sijui kama hv vitu bado vipo haya wanaweza wenyewe wazungu.Aah acha nikucheke kwanzababa ako nilipewa mara moja tu na card nikiwa sec kwahali hii iliopo sasa sijui kama hv vitu bado vipo haya wanaweza wenyewe wazungu.





Ee kuna mwana alikuwa ndio bishoo wa kitaa chetu aah jamaa alikuwa anapewa card yule ukifuna godolo lake unaweza sema ni stationary
Mimi hayo mambo nishasahau..

jinsi card na mauwa yalivyo jaa.Ee kuna mwana alikuwa ndio bishoo wa kitaa chetu aah jamaa alikuwa anapewa card yule ukifuna godolo lake unaweza sema ni stationaryjinsi card na mauwa yalivyo jaa.