JamiiForums Usiku wa manane
Nilienda ya pale Arusha na chalii mmoja alikua ametoka military training huko Asia akawa anaulizia supu ya konokono(China Style snail soup) daah nikamcheki tu nikasema hiiiiiiiiiiiii mi natangulia nazi(Restaurant) kunywa chai Jomba.
Next week kama ratiba itakuwa vzr nitaingia Google Map niangalie Chinese Restaurant.

Sent using Jamii Forums mobile app

dodge
 
Nilienda ya pale Arusha na chalii mmoja alikua ametoka military training huko Asia akawa anaulizia supu ya konokono(China Style snail soup) daah nikamcheki tu nikasema hiiiiiiiiiiiii mi natangulia nazi(Restaurant) kunywa chai Jomba.

dodge
Ni muhimu sana kuwa makini unapokula chakula cha kichina. Hakikisha unaagiza kitu unachokijua mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilienda ya pale Arusha na chalii mmoja alikua ametoka military training huko Asia akawa anaulizia supu ya konokono(China Style snail soup) daah nikamcheki tu nikasema hiiiiiiiiiiiii mi natangulia nazi(Restaurant) kunywa chai Jomba.

dodge
China bhana kama ukiwa mroho wa nyama unatakiwa uwemakini sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah machine iko ndani ya mfuko wa barafu,nzi mkubwa msafi anadumbukizwa humo then kwa juu inafungwa na kamba umamuacha apambane na na hali yake,baada ya muda matokeo utayaona kiongozi.

Nadhani so far hio ndio the cheapest&effectively invention kwny industry hio mkuu.
Mzee umetisha. Nzi wanatumikaje kwenye hilo zoezi . Na sasa hivi umegundua nini ambacho ndio kifaa kipya kufanikisha game.

Sent using Jamii Forums mobile app

dodge
 
Back
Top Bottom