Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,837
OkyNitashukuru sana
Man of steel
Batman Dawn of justice
Dark knight
Dark Knight rises
Batman Begins
Super man za 2000 mpaka 2010.. zile ambazo hakucheza Henry Carvil.
OkyNitashukuru sana
Man of steel
Batman Dawn of justice
Dark knight
Dark Knight rises
Batman Begins
Super man za 2000 mpaka 2010.. zile ambazo hakucheza Henry Carvil.
Kama miaka 3 hivi. Ila sikai sehemu moja kutoka na nature ya mishe zangu.Hapo maandishi matatu unamuda gani umekaa?
Unahandle vp hizi situation za racism na maneno yao ya kejeli Negro, Nigger nk..?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee umetisha. Nzi wanatumikaje kwenye hilo zoezi. Na sasa hivi umegundua nini ambacho ndio kifaa kipya kufanikisha game.
Sent using Jamii Forums mobile app




huwa sijawahi kuacha kupenda upuuzi na masihala kabisa mnafurahisha sana wana. Salama dada hali yakoZa kwako mdada?
Haswaa, bado mmoja nifunge hesabu.
Next week kama ratiba itakuwa vzr nitaingia Google Map niangalie Chinese Restaurant.
Sent using Jamii Forums mobile app
10 days after nazifuata..
Lakini racism sio kubwa sana kama siku za nyuma huko?Kama miaka 3 hivi. Ila sikai sehemu moja kutoka na nature ya mishe zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi upo uelekezweNext week kama ratiba itakuwa vzr nitaingia Google Map niangalie Chinese Restaurant.
Sent using Jamii Forums mobile app
huwa sijawahi kuacha kupenda upuuzi na masihala kabisa mnafurahisha sana wana.
Sent using Jamii Forums mobile app




jamaa nimemkubali coz yupo muwazi. Ananyetuka bila shida.Haswaa, bado mmoja nifunge hesabu.


tafuta tafuta unaweza ninyakulia. Ni muhimu sana kuwa makini unapokula chakula cha kichina. Hakikisha unaagiza kitu unachokijua mzee.Nilienda ya pale Arusha na chalii mmoja alikua ametoka military training huko Asia akawa anaulizia supu ya konokono(China Style snail soup) daah nikamcheki tu nikasema hiiiiiiiiiiiii mi natangulia nazi(Restaurant) kunywa chai Jomba.
dodge
China bhana kama ukiwa mroho wa nyama unatakiwa uwemakini sanaNilienda ya pale Arusha na chalii mmoja alikua ametoka military training huko Asia akawa anaulizia supu ya konokono(China Style snail soup) daah nikamcheki tu nikasema hiiiiiiiiiiiii mi natangulia nazi(Restaurant) kunywa chai Jomba.
dodge


Mzee umetisha. Nzi wanatumikaje kwenye hilo zoezi. Na sasa hivi umegundua nini ambacho ndio kifaa kipya kufanikisha game.
Sent using Jamii Forums mobile app