JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hahah daah am not sure mkuu,bt the only thing ambayo Bongo tume-invent hapa duniani na ilitakiwa tuwe na hatimiliki/patent yake ni Chips mayai.

Popote pale duniani(nje ya TZ) utakapokuta wanauza Chips mayai jua kuna mbongo hapo anahusika na hio kitu.

Niko serioua kwny hili wakuu.
Ina hatimiliki?

Sent using Jamii Forums mobile app

dodge
 
Hahah daah am sure mkuu,the only ambayo Bongo tume-invent hapa duniani na ilitakiwa tuwe na hatimiliki/patent yake ni Chips mayai.

Popote pale duniani(nje ya TZ) utakapokuta wanauza Chips mayai jua kuna mbongo hapo anahusika na hio kitu.

Niko serioua kwny hili wakuu.

dodge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ule mchanganyo wa mayai na viazi sijui nani alikuwa founder kwakweli maana katuletea janga hakika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah daah am not sure mkuu,bt the only thing ambayo Bongo tume-invent hapa duniani na ilitakiwa tuwe na hatimiliki/patent yake ni Chips mayai.

Popote pale duniani(nje ya TZ) utakapokuta wanauza Chips mayai jua kuna mbongo hapo anahusika na hio kitu.

Niko serioua kwny hili wakuu.

dodge
Mkuu nakushauri ukaisajili COSOTA tusijepoteza innovation zetu kama kwa chipsi yai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom