Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Haya matatizo ujue kuna siku ndio niliogopa kabisa nimelala saa 10 nikaamka saa 12 nikajiandaa kwenda church alafu siku lala tena mapka nikaogopa huu mwili.
Mm ilibidi nitumie dawa. Mabiringanya ndo nikapata usingiziHaya matatizo ujue kuna siku ndio niliogopa kabisa nimelala saa 10 nikaamka saa 12 nikajiandaa kwenda church alafu siku lala tena mapka nikaogopa huu mwili.
Sent using Jamii Forums mobile app
aah hiyo ni mbaya zaidi mm napoelekea sijui itakuwaje hukoMm ilibidi nitumie dawa. Mabiringanya ndo nikapata usingizi

Ukishazoea muda wako wa kuamka, hata ulale saa ngapi muda uleule upo macho. Ubongo ushazoea muda huo.Haya matatizo ujue kuna siku ndio niliogopa kabisa nimelala saa 10 nikaamka saa 12 nikajiandaa kwenda church alafu siku lala tena mapka nikaogopa huu mwili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu mbaya kama kukosa usingizi. Nikiwa na stress sipati usingizi kabisa.Mm ilibidi nitumie dawa. Mabiringanya ndo nikapata usingizi
Kitu huwa na wish kula ni zile steam burn za kichina navutiwa nazo sana.Hamna, ni chakula cha kawaida hiki. Humu kuna shrimp, uyoga, brocolli, vitunguu, n.k. Sili vitu vya ngano tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kupata coz akili bado inafanya kazi.Hakuna kitu mbaya kama kukosa usingizi. Nikiwa na stress sipati usingizi kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna msosi unaitwa hot pot maarufu sana msimu wa baridi. Hiyo mzee baba ni noma. Inaliwa ikiwa jikoni.Kitu huwa na wish kula ni zile steam burn za kichina navutiwa nazo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua ukitumia dawa unakuwa unabadilisha system yote unapandikiza system mpya ambayo inakuwa artificial ambayo ndio mbaya zaidi.
Hakuna kitu nachukiwa kama dawa. Sipendi kabisa mwili wangu uzoee madawa. Naweza umwa lakini nikanyuti siku 2 au 3 kuusikilizia. Nikona nipo fresh ndio basi tena.Unajua ukitumia dawa unakuwa unabadilisha system yote unapandikiza system mpya ambayo inakuwa artificial ambayo ndio mbaya zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naonaga zile photo zao lakini sijawahi kujua jina la hiyo menu leo ndio umeniambia hapa.Kuna msosi unaitwa hot pot maarufu sana msimu wa baridi. Hiyo mzee baba ni noma. Inaliwa ikiwa jikoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuwa ya moto hivyo unakuwa unapuliza kimtindo na nyingine inakwenda poozwa na mate. Halafu pia kuna baridi hivyo inapoa faster.Naonaga zile photo zao lakini sijawahi kujua jina la hiyo menu leo ndio umeniambia hapa.
Kwahiyo hiyo menu kitendo cha kuchota mpaka kufika mdomoni kimepoa kutokana na baridi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu nachukiwa kama dawa. Sipendi kabisa mwili wangu uzoee madawa. Naweza umwa lakini nikanyuti siku 2 au 3 kuusikilizia. Nikona nipo fresh ndio basi tena.
Sent using Jamii Forums mobile app


yaan ujanja wangu wote huwa nikiona dawa tu naishiwa nguvu nimuoga kinoma wa dawa mm.