JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hapana, huwa nakula mapema tuu saa (3-4).

Ila nashangaa kwa kipimo kilekile nimekula mida hiyo. Kufika saa 5, njaa nikala. Saa hivi napo nasikia njaa tena.


Labda shauri ya baridi.

Beggars can't be choosers
Pendelea kuweka vitu vya kunywa ndani juice, maji, Tambi, jiko la gas, nk.. Ungekuwa navyo hivyo usingelia saiz hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom