simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Bado anamkubali na nimeliona hata mimi... akae mbali tuMpotezee Ru,roho ya huruma inaweza kukujia wakati alikuaibisha mpaka kwa wazazi wako,then wazazi wakijua inakuwa noma mkuu,potezea tu.......
Bado anamkubali na nimeliona hata mimi... akae mbali tuMpotezee Ru,roho ya huruma inaweza kukujia wakati alikuaibisha mpaka kwa wazazi wako,then wazazi wakijua inakuwa noma mkuu,potezea tu.......
Bado anamkubali na nimeliona hata mimi... akae mbali tu




Yeah nikweli,ila awe makini maana ukiomba mechi ya kirafiki,mara paap kibendi hiki hapa......maana inawezekana kwa yaliyotokea nayeye anavizia wa kuondoka nayeBado anamkubali na nimeliona hata mimi... akae mbali tu
Umerudisha majeshi nn?Hakuna wepesi mkuu. Hao wazee ukikaa nao watakupa mkanda mzima.kilichorahithisha ni simu tu kupatana maex
I know nimeona umeinsist nikatranslate in negative way.
Bibie alikuwa na bwana ake ambae hakuwepo kwa muda mrefu kidogo na hakuniambia kabisa yani mwanaume nikaanza michakato ya kuweka ndani mtoto mzuri afu jamaa ake akaludi ilikuwa noma na nusu aise sina ham tena na kitu kuoa walahi
Sent using OPPO Mobile Phone
Ooh acha kabisa tulikuwa tumepanda daladala ya mbagala kuna muhuni anambiwa sogea watu wapande baharia kagoma.Karibu zakh M![]()



muhimu alikula makofi na abiria wote wa mule ndani uliza sasa kituo wapi zakh m.Hii ndio ile wanasema uliza majirani demu unayemuoa!Yeah akibaki mazingira hayo itasugua sana benchi
Uko poa ww mama?02:46hrs
Nikweli unaweza kuta kashafanya mengi tu ya kutisha halafu upo mtaani kwake unatamba naye wanakuchora tu😂😂😂Hii ndio ile wanasema uliza majirani demu unayemuoa!
Powa sanaUko poa ww mama?
Nikweli unaweza kuta kashafanya mengi tu ya kutisha halafu upo mtaani kwake unatamba naye wanakuchora tu![]()


ungekuwa unajua unao watambia sasa.Pamoja Mndengestani
Naona ndio mida yako hii.Powa sana
Kwetu kulishakuchaaNaona ndio mida yako hii.