JamiiForums Usiku wa manane
Exactly, ndoa au mahusiano ya kindoa ni very complex phenomenon.
Ukipata watoto ndio complexity ya life inaongezeka mara dufu hata uwe tajiri vipi.

First of all you must know by now you can't satisfy a human being.
Anapopata alichokuwa anakitaka ndivyo anavyo zidi kutaka zaidi.
Bob marley aliimba
Give them an inch, they take a yard
Give them a yard, they take a mile
Upo sahihi sana mkuu,hiyo institution ni ngumu sana naiwazia hapa kuingia ila daah......
 
Exactly, ndoa au mahusiano ya kindoa ni very complex phenomenon.
Ukipata watoto ndio complexity ya life inaongezeka mara dufu hata uwe tajiri vipi.

First of all you must know by now you can't satisfy a human being.
Anapopata alichokuwa anakitaka ndivyo anavyo zidi kutaka zaidi.
Bob marley aliimba
Give them an inch, they take a yard
Give them a yard, they take a mile
Maneno mepesi ila mazito mkuu
 
aah ingekuwa noma na nusu zaidi kama ungelipa mahali na pia umeshaanda gharama za harusi kabisa, huyo bibie hata msimamo kabisa yaan ww ulikuwa caretaker ujue
Mkuu acha tu, alikwishafahamika home na siku wazee wanaenda kwao ndio kila kitu kinakuja kujulikana ila kwa bahati nzuri na mwana nae alipiga chini so manzi yupoyupo tu.

Sent using OPPO Mobile Phone
 
Nesta alikuwa anaona mbali kumbe
Exactly, ndoa au mahusiano ya kindoa ni very complex phenomenon.
Ukipata watoto ndio complexity ya life inaongezeka mara dufu hata uwe tajiri vipi.

First of all you must know by now you can't satisfy a human being.
Anapopata alichokuwa anakitaka ndivyo anavyo zidi kutaka zaidi.
Bob marley aliimba
Give them an inch, they take a yard
Give them a yard, they take a mile
Tatizo la hv viumbe havijawahi kuwa satisfied nakujua wanataka nn nikazi mno.
 
Mkuu acha tu, alikwishafahamika home na siku wazee wanaenda kwao ndio kila kitu kinakuja kujulikana ila kwa bahati nzuri na mwana nae alipiga chini so manzi yupoyupo tu.

Sent using OPPO Mobile Phone
kakosa kotekote saizi anaregret tu huko aliko.
 
Back
Top Bottom