Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,059
Aaah mm nawazimikia sana wanawake wakule aisee dah Latina's ni [emoji91]Umekaa kiuharibifu tu mkuu [emoji23][emoji23] .. yaani waharibifu wote wanapenda latinas
Aaah mm nawazimikia sana wanawake wakule aisee dah Latina's ni [emoji91]Umekaa kiuharibifu tu mkuu [emoji23][emoji23] .. yaani waharibifu wote wanapenda latinas
Hahaaa mimi muda wowote naangusha.. hili lindo lipo fresh leo.komaa nalo mkuuMuda wa job umekwisha wacha niende maghetoni. Leo nahakikisha mnakesha hadi jogoo anawika
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo ivyo mkuu hakuna njia ya mkatoPambana kiongozi.
Dude we Latina huwapendi kule? (swali la kichokozi)
Subiri nifike kitaa. Just 5 minutes walkHahaaa mimi muda wowote naangusha.. hili lindo lipo fresh leo.komaa nalo mkuu
Kabla ya mwezi wa 5 inabidi tuwe tumefika 100000Post no 79300.
Sent using OPPO Mobile Phone
mm sinawajua hao [emoji23][emoji23][emoji23] ingekuwa bongo ndio format ni hiyo tungetafunana sana hapa [emoji91]
Si unaona kazi hiyoDude we Latina huwapendi kule? (swali la kichokozi)
Kweli napenda sana hiyo kitu nikipata muda nitasoma wallah kama unabooks embu tuma pm fasta.Sasa bila visanga hutokuwa philosopher na naona hiyo potential unayo... ni brotherhood tu mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]
Hakuna wakumkomoa hii ni weekend babu.Muda wa job umekwisha wacha niende maghetoni. Leo nahakikisha mnakesha hadi jogoo anawika
Sent using Jamii Forums mobile app
Nichangie mahali fam. [emoji23][emoji23]Sijui nifanye nn uone jema hommie [emoji16]
Zitafika.Kabla ya mwezi wa 5 inabidi tuwe tumefika 100000
Exactly, ndoa au mahusiano ya kindoa ni very complex phenomenon.Raha ya kitu huwa mwanzoni tu pale ndio maana yako..
Agiza kinywaji tuliendeleze mazeeHakuna wakumkomoa hii ni weekend babu.
Verified hiyo [emoji16]
Dah mnatamba sana wallah.Kuna ambae hajaridhishwa na huduma labda [emoji188][emoji188][emoji188][emoji188]View attachment 1342820
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] aah ingekuwa noma na nusu zaidi kama ungelipa mahali na pia umeshaanda gharama za harusi kabisa, huyo bibie hata msimamo kabisa yaan ww ulikuwa caretaker ujue [emoji23][emoji23][emoji23]Bibie alikuwa na bwana ake ambae hakuwepo kwa muda mrefu kidogo na hakuniambia kabisa yani mwanaume nikaanza michakato ya kuweka ndani mtoto mzuri afu jamaa ake akaludi ilikuwa noma na nusu aise sina ham tena na kitu kuoa walahi[emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using OPPO Mobile Phone