Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,080
- 16,052
Mdau niko zamu hivi hospitali hapa naibia ibia kidogo nigonge usingizi, ila soon tu tutajumuika tenaTulia upate kahawa na kashata sasa.
Mdau niko zamu hivi hospitali hapa naibia ibia kidogo nigonge usingizi, ila soon tu tutajumuika tenaTulia upate kahawa na kashata sasa.
Napita kilasiku kwa wahuni wanavuta bangi hiyo ndio shortcut ya kwenda dukani halafu sasa wana nidelekea tu.

wanakuona mnyamaamkuu mbona unasound kama ndugu zangu wa saudia maana nisije kwenye mnuso wa mchana af umepooza


acha na hao wasaudia hawana maajabu wale.Mdau niko zamu hivi hospitali hapa naibia ibia kidogo nigonge usingizi, ila soon tu tutajumuika tena


kuna hospital moja niliingia mwaka huu mida kama hii waliokuwa zamu wote wamelala.Utakuwa hujanitendea haki. Yaani nipige menyu na mirinda nyeusi bila hata muzikiacha na hao wasaudia hawana maajabu wale.
Nikipita nimewasalimia basi naendelea na mikausho yangu yaan ile fear haipo maana nimekuwa kwenye mitaa pila muda wote linatimba lakini na uboya wangu wote central nilikaa siku mojawanakuona mnyamaa


mom alinipeleka huko lakini hiyo ni story nyingine kabisa ikaushie tu mzee wangu.
Utakuwa hujanitendea haki. Yaani nipige menyu na mirinda nyeusi bila hata muziki
Ulizingua wewe.. home watulivu af unataka wapa wakuu pressure. Safi sana japo mimi sijawahi hata kuingiaNikipita nimewasalimia basi naendelea na mikausho yangu yaan ile fear haipo maana nimekuwa kwenye mitaa pila muda wote linatimba lakini na uboya wangu wote central nilikaa siku mojamom alinipeleka huko lakini hiyo ni story nyingine kabisa ikaushie tu mzee wangu.

Kwaito za kipendwa hatubambiani mkuu.. ni mwendo wa nibebe tuUnapenda kubambia dada zangu na wawatu tu we ndio mpango wako huna kingine unachokitaka![]()


Ulizingua wewe.. home watulivu af unataka wapa wakuu pressure. Safi sana japo mimi sijawahi hata kuingia![]()



acha kabisa polisi wanajambisha kinoma ukiingia mule aah utajionea nachokisema.Kwaito za kipendwa hatubambiani mkuu.. ni mwendo wa nibebe tu![]()


singeli unaziweza ww achana na hizo mambo za SA.Kwani imekuwaje mkuu?Why do we fall in love with people we can't have?![]()
Vingine ntakufungulia file PM ..acha kabisa polisi wanajambisha kinoma ukiingia mule aah utajionea nachokisema.
Singeli siziwezi kiukweli ...sijarauka kiasi hichosingeli unaziweza ww achana na hizo mambo za SA.
Basi club au disco siku hiyo litakuwa limeingiwa na MasaiSingeli siziwezi kiukweli ...sijarauka kiasi hicho



Mwana unapitaga hv hv unatoa salamu alafu unatuachia manyoya leo baki tu.simiss Super Villain mama D chiqutitta Da'Vinci na Rowin nawasalimu wadau wa usiku wa manane.
Amani iwe juu yenu.
ClubBasi club au disco siku hiyo litakuwa limeingiwa na Masai![]()


.. wewe jipange tu