JamiiForums Usiku wa manane
wanakuona mnyamaa
Nikipita nimewasalimia basi naendelea na mikausho yangu yaan ile fear haipo maana nimekuwa kwenye mitaa pila muda wote linatimba lakini na uboya wangu wote central nilikaa siku moja mom alinipeleka huko lakini hiyo ni story nyingine kabisa ikaushie tu mzee wangu.
 
Nikipita nimewasalimia basi naendelea na mikausho yangu yaan ile fear haipo maana nimekuwa kwenye mitaa pila muda wote linatimba lakini na uboya wangu wote central nilikaa siku moja mom alinipeleka huko lakini hiyo ni story nyingine kabisa ikaushie tu mzee wangu.
Ulizingua wewe.. home watulivu af unataka wapa wakuu pressure. Safi sana japo mimi sijawahi hata kuingia
 
Back
Top Bottom