Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Pita tu angalia kitabu cha maudhurio mzee wangu.Nakagua lindo
Pita tu angalia kitabu cha maudhurio mzee wangu.Nakagua lindo
Tupo humu na karibu pia japo usingizi unaanza kukaba.. ila jini villain ananiinfluence nikae machosimiss, Super Villain, mama D, chiqutitta, Da'Vinci na Rowin nawasalimu wadau wa usiku wa manane.
Amani iwe juu yenu.


Unataka alinde.. tuliaMwana unapitaga hv hv unatoa salamu alafu unatuachia manyoya leo baki tu.
Nakagua lindo
Niko na baharia mmoja hapa ujue ndio ananifanya na mm nikaemacho anaandaa presentation yake hapa kwajili ya kazi kesho.Tupo humu na karibu pia japo usingizi unaanza kukaba.. ila jini villain ananiinfluence nikae macho![]()
Ukiona zzzzzzzz ujue nishaangusha maana hapa gari zito af 12 na nusu inabd niwe macho famNiko na baharia mmoja hapa ujue ndio ananifanya na mm nikaemacho anaandaa presentation yake hapa kwajili ya kazi kesho.
welala tu usije ukakosa ugali kesho kila mtu anajua budget ya Bank account yake..Ukiona zzzzzzzz ujue nishaangusha maana hapa gari zito af 12 na nusu inabd niwe macho fam
True bruh... nice nightwelala tu usije ukakosa ugali kesho kila mtu anajua budget ya Bank account yake..
Same to you fam 👊True bruh... nice night
Eeh Petit wangu, kuya fasi ya sinza ,ukunye bierePapaa mtu chake muzee ya mujini.
Eza wapi?
Hahahaha, naona mahudhurio mazuriPita tu angalia kitabu cha maudhurio mzee wangu.
Hahahaha, hii mitaa yangu pia...mitaa ya usiku wa manane unafikaga mdau?
Ha haaEeh Petit wangu, kuya fasi ya sinza ,ukunye biere
Nakuachia lindo muda sio mrefu mzee wangu.Hahahaha, naona mahudhurio mazuri
Mimi nimo bado.3:00 AM
31/1/2020
Currently Members on online 209
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo