JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

True love ipo lakini tunavyozidi kukua ndio inazidi kuwa nadra na ngumu kuipata
Yah nakubaliana na hilo coz naona some changes kibao sasa lakini zitakuwepo bado dunia ya sasa social media tu inaweza ikakupa gal ambaye akawa na true love kwako na pia unaweza usipate pia.
 
Yah nakubaliana na hilo coz naona some changes kibao sasa lakini zitakuwepo bado dunia ya sasa social media tu inaweza ikakupa gal ambaye akawa na true love kwako na pia unaweza usipate pia.
True.. mambo mengi ila time ndio hivyo mkuu.
Ukiipata ile enyewe usiiachie, nimemiss minuso ya harusi kinyamaa
 
Dah! Wadau eeh, kama vipi saa 11.
Nimeamka dk 0 lakini najionea taabu tu.

Na hii njaa, ngoja niendelee kuhesabu mbao!
 
True.. mambo mengi ila time ndio hivyo mkuu.
Ukiipata ile enyewe usiiachie, nimemiss minuso ya harusi kinyamaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pumbafu ww unataka harusi Jan yote hii mzee wangu

mm nitakuchangia 30k uoe sasa kama umemiss harusi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pumbafu ww unataka harusi Jan yote hii mzee wangu

mm nitakuchangia 30k uoe sasa kama umemiss harusi?
Mbona kavu.. sio siri nimemiss mnuso [emoji23][emoji23][emoji23]

Af ya kwangu ntakaa pale mbele so huez enjoy.. ila huku nyuma ndo kwenye raha zote.usiniangushe bro
 
Mbona kavu.. sio siri nimemiss mnuso [emoji23][emoji23][emoji23]

Af ya kwangu ntakaa pale mbele so huez enjoy.. ila huku nyuma ndo kwenye raha zote.usiniangushe bro
Sherehe kula tu maswala ya kucheza mziki kila mtu kwao atacheza huko mbele hapo ndipo napopataka kwenye high table dhambi (misosi) yote zitakuwa hapo.
 
Sherehe kula tu maswala ya kucheza mziki kila mtu kwao atacheza huko mbele hapo ndipo napopataka kwenye high table dhambi (misosi) yote zitakuwa hapo.
[emoji23][emoji23] mkuu mbona unasound kama ndugu zangu wa saudia maana nisije kwenye mnuso wa mchana af umepooza
 
Back
Top Bottom