JamiiForums Usiku wa manane
True love ipo lakini tunavyozidi kukua ndio inazidi kuwa nadra na ngumu kuipata
Yah nakubaliana na hilo coz naona some changes kibao sasa lakini zitakuwepo bado dunia ya sasa social media tu inaweza ikakupa gal ambaye akawa na true love kwako na pia unaweza usipate pia.
 
Yah nakubaliana na hilo coz naona some changes kibao sasa lakini zitakuwepo bado dunia ya sasa social media tu inaweza ikakupa gal ambaye akawa na true love kwako na pia unaweza usipate pia.
True.. mambo mengi ila time ndio hivyo mkuu.
Ukiipata ile enyewe usiiachie, nimemiss minuso ya harusi kinyamaa
 
Dah! Wadau eeh, kama vipi saa 11.
Nimeamka dk 0 lakini najionea taabu tu.

Na hii njaa, ngoja niendelee kuhesabu mbao!
 
Mbona kavu.. sio siri nimemiss mnuso

Af ya kwangu ntakaa pale mbele so huez enjoy.. ila huku nyuma ndo kwenye raha zote.usiniangushe bro
Sherehe kula tu maswala ya kucheza mziki kila mtu kwao atacheza huko mbele hapo ndipo napopataka kwenye high table dhambi (misosi) yote zitakuwa hapo.
 
Sherehe kula tu maswala ya kucheza mziki kila mtu kwao atacheza huko mbele hapo ndipo napopataka kwenye high table dhambi (misosi) yote zitakuwa hapo.
mkuu mbona unasound kama ndugu zangu wa saudia maana nisije kwenye mnuso wa mchana af umepooza
 
Back
Top Bottom