JamiiForums Usiku wa manane
Sishangai mkuu.. watu type zenu kawaida sana.. sasa mimi mtoto wa katekista anifate nani ..ukijieka karibu nakupa shajara na misale ya waumini
Secondary ndio zilikuwa sana that time aah nilikuwa braza men baba ako basi ndio gal walikuwa wanavurugikiwa kabisa lakini saiz nipo nipo tu mchafu.
 
Secondary ndio zilikuwa sana that time aah nilikuwa brazamen baba ako basi ndio gal walikuwa wanavurugikiwa kabisa lakini saiz nipo nipo tu mchafu.
secondary.. uwe na fame tu inatosha. Kuna manzi alinambia true love mwisho form 6 ingawa niliona kama kuna kauongo ndani yake
 
Back
Top Bottom