Akili Pesa
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 617
- 854
Ok missBang-on!
Secondary ndio zilikuwa sana that time aah nilikuwa braza men baba ako basi ndio gal walikuwa wanavurugikiwa kabisa lakini saiz nipo nipo tu mchafu.Sishangai mkuu.. watu type zenu kawaida sana.. sasa mimi mtoto wa katekista anifate nani..ukijieka karibu nakupa shajara na misale ya waumini
Same to you missUsiku mwema/asubuhi njema.
Atakuwa aliyapitia


inawezekan yy alishavurugwa sana ila hpn kipnd hiki ndio nahs mapenz yanavuruga kuliko kipnd chchte kileNawe pia gal..Usiku mwema/asubuhi njema.
Secondary ndio zilikuwa sana that time aah nilikuwa brazamen baba ako basi ndio gal walikuwa wanavurugikiwa kabisa lakini saiz nipo nipo tu mchafu.


secondary.. uwe na fame tu inatosha. Kuna manzi alinambia true love mwisho form 6 ingawa niliona kama kuna kauongo ndani yakeKeyboard worrior sio.. mimi kawaida, sijielewi, hawanielewi.. simple kama hivyodah mm black sheep babu! lakini ujue mm nature ni humble sana naongea tu humu lakini nje huko wananiita ni cold guy acha tu..
Aliamua kukukatisha tamaa kabisa huyo mchuchu lakini True love ipo kabisa.secondary.. uwe na fame tu inatosha. Kuna manzi alinambia true love mwisho form 6 ingawa niliona kama kuna kauongo ndani yake
Nimeamka hapa ndio nakumbuka kumbe sijala.. dah!!
Ngoja nikacheki msosi kwa mama dory.



That's love❤😥Why do we fall in love with people we can't have?![]()
True love ipo lakini tunavyozidi kukua ndio inazidi kuwa nadra na ngumu kuipataAliamua kukukatisha tamaa kabisa huyo mchuchu lakini True love ipo kabisa.
mm tatizo langu huwa sio muongeaji sana nje huko..Keyboard worrior sio.. mimi kawaida, sijielewi, hawanielewi.. simple kama hivyo
Kawaida.. ndio ulivyo na ipo njema tu. Sometimes unakuta ni ngumu kupata watu wa kuendana vibemm tatizo langu huwa sio muongeaji sana nje huko..
Karibu lindoni mkuuHee kumbe ni usiku wa manane?!![]()
Nimeamka hapa ndio nakumbuka kumbe sijala.. dah!!
Ngoja nikacheki msosi kwa mama dory.

utakutana na ukoko saiz hommie.