Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,550
- 105,315
Trush me.

wapi sasa??
aah wapi mm sio mjinga hivyo utakuwa uliona mahali nikisema.
Nina elements za kizee mimi.. nyie vijana hamtuelewi sisi.Aah mm hile miondoko imenishinda mzeelumba siwezi kabisa.
Mm sinywi pombe nitatuma ya maji tu.Wale ambao hawatakuwepo kazini kesho kama tulivyokubaliana kikao cha jana hela ya bia mnatuma kwangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi kuna taarabu hapa nasikiliza zinanikumbusha kipindi cha udogo tulikua tunaziimba tukiwa tunacheza harusi za kibaba mama
Unaikumbuka ngoma yake ya Hao? Kuna line moja jamaa aliwachana waandaaji wa tunzo za muzik hapa bongo wakat ule Kill Music, walikuwa wanachanganya tunzo za music wa kidunia pamoja na za kumsifu Mungu...Zamani hakuna wimbo wa joh ambao nilikua siujui kuimba ila now hata simtaki. Anaimba upuuzi tu..
Kwa faida ya wote.. Ahsante nimejikuta napenda hili andiko ndio maana nimenukuu mistari mingi..
I never said that
Nina elements za kizee mimi.. nyie vijana hamtuelewi sisi.
Eg. Niko nasikiliza King kiki _ kitambaa cheupe




nimezaliwa hizo ngoma hakuna nimewakuta kina piddy, 2pac, dre & Nas hao nitavibe nao vp nikiingia ghetto la mabro nakuta stika za hao watu tu nangoma zao zinapigwa tu..That's my goalBurudika tu.
Kesho kutwa uende church sasa umedoji sana ujue.
Inaonekana ww ni kijana wa juzi juzinimezaliwa hizo ngoma hakuna nimewakuta kina piddy, 2pac, dre & Nas hao nitavibe nao vp nikiingia ghetto la mabro nakuta stika za hao watu tu nangoma zao zinapigwa tu..