Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,560
Zamani hakuna wimbo wa joh ambao nilikua siujui kuimba ila now hata simtaki. Anaimba upuuzi tu..Nitiba hata stress zinauwa katiba ingekuwa music wengi wangeijua.
Zamani hakuna wimbo wa joh ambao nilikua siujui kuimba ila now hata simtaki. Anaimba upuuzi tu..Nitiba hata stress zinauwa katiba ingekuwa music wengi wangeijua.
Atakuta nimesha muandalia kuku mchesho hapa nyumbani..tehWeka na bill ya supu kabisa.
Music ni feelings tu basi mm huwa nawashangaa wanaopenda bolingoNimegundua mm napenda nyimbo zoote duniani.. hadi Qaswida hua nasikiliza mm.
Ninesoma soma mambo ya muziki kidogo





wakufungulia mwaka.Mungu akufamyie wepesi, na usije angamia kwa kukosa maarifaNdio maana nimeuliza nyie watu wazima
Game imebadilika flow sio konk kama zazamani kuna ilengoma inaitwa pea sio mchezo.Zamani hakuna wimbo wa joh ambao nilikua siujui kuimba ila now hata simtaki. Anaimba upuuzi tu..
Yeaaah..Music ni feelings tu basi mm huwa nawashangaa wanaopenda bolingo![]()

aah wapi mm sio mjinga hivyo utakuwa uliona mahali nikisema.Ahsante. Ila hujanionyesha kama ni mbaya au lah
Sio rahisi hivyo kunamahali aliona tu.
Not even me?Kwahiyo bado dk 7 wafunge laini..
Anyway I got nothing to lose


kuwa makini mzee.Aah mm hile miondoko imenishinda mzeeYeaaah..
Ningekua naweza kila weekend ningekua naenda live band nikasikilize midundo ya ngoma..


lumba siwezi kabisa.I said I've nothing to lose