Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,952
Hamna kawaida ila nilikuwa usingiz tele
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulichoka sana inaonekana jana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulichoka sana inaonekana jana?

Hakuna tatizo mzee.
Basi kuna taarabu hapa nasikiliza zinanikumbusha kipindi cha udogo tulikua tunaziimba tukiwa tunacheza harusi za kibaba mamaHapana
Acha avatar imebadilika imekaa sura moja nzr hv africast ya bibie mmojaPole sana broh![]()



Fresh tu nipo.Kwema kabisa, vipi wewe
Kuna mtu simkumbuki lakini alisema Music has no language.Basi kuna taarabu hapa nasikiliza zinanikumbusha kipindi cha udogo tulikua tunaziimba tukiwa tunacheza harusi za kibaba mama
Hahaha wewe jamaa bhanaAcha avatar imebadilika imekaa sura moja nzr hv africast ya bibie mmoja![]()
Basi kuna taarabu hapa nasikiliza zinanikumbusha kipindi cha udogo tulikua tunaziimba tukiwa tunacheza harusi za kibaba mama
Nandio maana kuna mtu anapenda nyimbo ya kihindi lakini haelewi kinachoimbwa lakini anafeelings nayo tu.Kuna mtu simkumbuki lakini alisema Music has no language.
0032 UK
Live for life you feel me, makini joh kwa hizi flow ni so more/Kuna mtu simkumbuki lakini alisema Music has no language.
Hahaha wewe jamaa bhana


unaweza ukajaribu kuview ujue ni nani kumbe unajichungulia mwenyewe.Nimegundua mm napenda nyimbo zoote duniani.. hadi Qaswida hua nasikiliza mm.Nandio maana kuna mtu anapenda nyimbo ya kihindi lakini haelewi kinachoimbwa lakini anafeelings nayo tu.
Nitiba hata stress zinauwa katiba ingekuwa music wengi wangeijua.Live for life you feel me, makini joh kwa hizi flow ni so more/
Bila muziki mgumu siwagi more (? )
Valiam hukulaza usingizi wa pono, ila vitamin muziki hukulaza unono
Ndio maana nimeuliza nyie watu wazima
Umejuaje?