Tangulia mkuu, ngoja niongee na dada yangu kidogo.
Kwanza mahari hujatoa😀😀
Muulize vizuri,mbona kila tayari,nakumbuka hukuwepo nilipokuja kutoa mahari,halafu itakuwa wamekuficha shemeji. Muulize vizuri dada yako.
Tangulia mkuu, ngoja niongee na dada yangu kidogo.
Kwanza mahari hujatoa😀😀
Tayari mkuu tunaripot kabla ya muda, unajifanya umekua mgeni sasaKwani muda tayari
Daaah uzee huu..Tayari mkuu tunaripot kabla ya muda, unajifanya umekua mgeni sasa
Kwahiyo bado dk 7 wafunge laini..
Anyway I got nothing to lose
Wafunge tu laini..maana haina kazi kwangu
Wafunge tu laini..maana haina kazi kwangu
Kwema kiongozi..Kwema mzee?
Inapendeza kusikia upo poa mzee, uwe na wasaa mwema hapo ulipoKwema kiongozi..