Light Saber Imetosha Sasa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,641
- 8,338
Tatizo sio uvivu..usingizi unanizidi maarifa.
Na pilau nalo lanivuruga tumbo langu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewee..ndani kwangu hainogi eti..Yani Kuna kitu kinanishawishi nitoke hapa kitandani niufuate mziki ulipo.
Wewee..ndani kwangu hainogi eti..Yani Kuna kitu kinanishawishi nitoke hapa kitandani niufuate mziki ulipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo nipo kufanya kitu roho inapenda..nimeshajikoki tayari kwenda kulisakata rumbaa.Sasa je! Fanya ile kitu roho inapenda...
Ila kumbuka shetani ana nguvu... na katikati ya muziki ibilisi ndiyo kijiwe chake...
Usije ukafanya mambo ya "khanga moko inye ndembe ndembe, laki sii pesa million ya vocha"
Cc: mahondaw


