Hahaha sisi ndo tumekula.makombo ya siikukuu janaNipo.
Sikukuu ilishapita majuzi huko
HahahahahahaNdiyo basi tena... umebakiwa na masaa machache sana...
La muhimu kamilisha usajili wa lini yako ya simu... kwa alama za vidole na kitambulisha wanachokitaka...
Cc: mahondaw
Hahaha sisi ndo tumekula.makombo ya siikukuu jana
Wacha kumtisha mwenzio.Hata nikinuna au nikiwa serious bado haitadilisha kitu...
Jitahidi usiwe unalala mida hiyo... or else utanyakuliwa...
Cc: mahondaw
Angalau umekula.....kujazia jazia
mida mm nalala isijekua kwako ndo kiza kinaingia sijuihata usipojiandaa kama imefika naimani atakufa tu