Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,836



dah


dahUnazingua


pilau uliokula tatizo hilo.Tafuta solution huu mchezo ni hatari unaoufanya kiafya nitakuelekeza vzr kesho.
Daktari yupo dubai ww kausha akirudi mwambie anipe ushauriTafuta solution huu mchezo ni hatari unaoufanya kiafya nitakuelekeza vzr kesho.

Nitakuulizia kwa Dr then nitakupa mrejesho.Pilau mm silagi aisee
Nna njaa kweli ikishafika kuanzie saa8 tu shida
Mjini watu wanalalaga?Hamuoni kama dunia imeongeza speed ya kuzunguka...
Mwaka mpya unaingia muda siyo mrefu...
Siku hizi watu hawalali...
Cc: mahondaw



Hapo sawa ss nilihisi unataka kujidai doc kisa ulilock gar na naniiNitakuulizia kwa Dr then nitakupa mrejesho.


Nazingua unajua tumelelewa na kuamini kuwa sikukuu lazima tule pilau kwahiyo kila mtu siku yaleo hata kama hukula pilau atatania kwa kusema umekula pilau.
KaushaHapo sawa ss nilihisi unataka kujidai doc kisa ulilock gar na nanii![]()
Ufundi mechanics ulikuhusu


nitakupa ban asaiv unajua?Majuzi niko mombasa hiace zinapita tu saa 2 zimepakia watu.
Buguruni hapakaukiUkitaka kujua watu hawalali pita mbagala, msimbazi japo pamepungua na buguruni chama



😭😂😂😂😂😂😂😂Hamuoni kama dunia imeongeza speed ya kuzunguka...
Mwaka mpya unaingia muda siyo mrefu...
Siku hizi watu hawalali...
😀😀😀😀
Cc: mahondaw
Kaushanitakupa ban asaiv unajua?


unanipa ban nikirudi nakushushia mvua ya kamusi utajutraaaUsiku mwendo wavipanya tuBuguruni hapakauki![]()
Nitakupa ban ya unforgettableunanipa ban nikirudi nakushushia mvua ya kamusi utajutraaa
