Ronnycinchy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,086
- 7,120
Post # 72201
Alikuwa na swali sijui kapotelea wapi tena Ronny2010
Alikuwa na swali sijui kapotelea wapi tena Ronny2010
Nyamongo hapa Tarime,karibu sanaKarare chacha sema terime uongo![]()
Nitofauti na huku wale nimbegu nyingine kabisa na hawawezi hata kuishi huku coz mazingira ni tofauti kabisa.Yale makuku/mabata wanayokulaga wenzetu wa mbele huko...wakati wa Christmas yanaitwaje kwa Kiswahili...
Na wanapatikana huku nyumbani?+
Hahahaha lalaMtaji wenyewe njiwa

Ilooeti kama umrona ukweli ukakimbia mwenyewe
Vp kahawa bdo inakupeleka
Me siwezi kutishika....sina cha kuhofiaTunakutisha wewe
Ni episode 10 Nimedownload teyari.Super Villain
Series inaendeaje
nyie ndio wale mnapitaga juu kwa juu eeh?
Natafuta mkuraya wakudate nae ili nihakikishe kua hawako romanticNyamongo hapa Tarime,karibu sana



Mabibi na mabwana nawatakia lindo jema![]()
Nimeshakujibu teyari.
Afadhali, maana nilikuwa nawatafuta na mimi nishereheke naoNitofauti na huku wale nimbegu nyingine kabisa na hawawezi hata kuishi huku coz mazingira ni tofauti kabisa.
Mnazingua 😀😀 afu kuna wengine wanasave kabisaTunawachora tu
poa mwananchi nawe pia.Mabibi na mabwana nawatakia lindo jema![]()
Mwenzio nimeaga ila kwahilo ombi lako linaweza fanya usingizi uishe kama nimetafuna mirungi vileNatafuta mkuraya wakudate nae ili nihakikishe kua hawakl romantic
Imana, vua nguo![]()
Pamoja mkuuUlale salama mkuu
Ss hapo ushapagawaHamna ukweli wowote, gahwa bado ipo mwilini.![]()


kulala haulali kesho ukiamka utafkiri ulikua unafanya kazi kwenye mradi wa SGR umechoka mpaka ubongoPamoja mkuupoa mwananchi nawe pia.
Hahahahaha ntaanza kukuita sonko ebu lalaMwenzio nimeaga ila kwahilo ombi lako linaweza fanya usingizi uishe kama nimetafuna mirungi vile



Mnazinguaafu kuna wengine wanasave kabisa