Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,836
IlooAshukuriwe Goddes kwa kamba zake![]()

eti kama umrona ukweli ukakimbia mwenyeweVp kahawa bdo inakupeleka
IlooAshukuriwe Goddes kwa kamba zake![]()

eti kama umrona ukweli ukakimbia mwenyeweHahahahaha toka hapa


xmas kesho kutwa hapo unaweza ingia sokoni na hela yako nabado ukakosa kuku kesho.Ni bata mzinga.Yale makuku/mabata wanayokulaga wenzetu wa mbele huko...wakati wa Christmas yanaitwaje kwa Kiswahili...
Na wanapatikana huku nyumbani?+
Yale makuku/mabata wanayokulaga wenzetu wa mbele huko...wakati wa Christmas yanaitwaje kwa Kiswahili...
Na wanapatikana huku nyumbani?+
Hotelini wengi naskia walipa kwa mwezi ss kama unaweza supply kuku hata mara6 mwisho wa mwezi ndo ulipwe kazi unayoDuuh nisawa ila lazima ujue soko lake liko wapi,kama hao kuku uwe angalau na hotel unapeleka
Kesho uwakuti kunavibopa watakuwa washawabeba teyari.Juzi nilipita pale,kesho nitawaangalia vizuri
Mwanisema nikuona![]()
😀😀😀 nyie ndio wale mnapitaga juu kwa juu eeh?Ule uzi una kasi ya 4G mabint ndio wanao kosha picha zao hufuta haraka sana akiongozwa na huyu @depal
hahahaha, aisee mimi ni mpenzi wa milo halafu sijaipata kitambo sana.Namalizia Milo na mkate hapa.
Usiku mwema mkuu.Mabibi na mabwana nawatakia lindo jema✋🏿✋🏿✋🏿✋🏿
Ule uzi una kasi ya 4G mabint ndio wanao kosha picha zao hufuta haraka sana akiongozwa na huyu @depal
Mtaji wenyewe njiwaHotelini wengi naskia walipa kwa mwezi ss kama unaweza supply kuku hata mara6 mwisho wa mwezi ndo ulipwe kazi unayo
Karare chacha sema terime uongoMabibi na mabwana nawatakia lindo jema![]()



🙏🏿Usiku mwema mkuu.
Mnajitisha![]()