Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Wafuate tuAfadhali, maana nilikuwa nawatafuta na mimi nishereheke nao


Sio mbaya ukisheherekea ukiwa nje ya nchi ukaona nawengine wanafanyaje siku hiyo.Wafuate tuAfadhali, maana nilikuwa nawatafuta na mimi nishereheke nao


Sio mbaya ukisheherekea ukiwa nje ya nchi ukaona nawengine wanafanyaje siku hiyo.Mbona unanichonganisha sasa nitakupeleka malapa pale ww.Ss hapo ushapagawakulala haulali kesho ukiamka utafkiri ulikua unafanya kazi kwenye mradi wa SGR umechoka mpaka ubongo
In Super Villain voice
Wafuate tuSio mbaya ukisheherekea ukiwa nje ya nchi ukaona nawengine wanafanyaje siku hiyo.
Wale ni bata
Yy leo anastate law tu.
Nialike basi hata kama sitokuja kula hilo pilau.Siendi huko...nawafuata hapa hapa nyumbani.
Oohh...wanapatikana huku kwetu?Wale ni bata
Umesalewa sasa?0028
0228
hahahahahah, yaani mjadala wa kuchi umekufanya ukasahau kabisaaaaa.
Ni bata mzinga, kama unawajua.Oohh...wanapatikana huku kwetu?
Nialike basi hata kama sitokuja kula hilo pilau.
Hahaha malapa tena mm nataka kwenda sokoni pale kwenye uniform za kipekeeeMbona unanichonganisha sasa nitakupeleka malapa pale ww.
Christmas umechelewa....Karibu mwaka mpya...


kwahiyo hata ukoko siwezi kula?Ni bata mzinga, kama unawajua.
Ss hapo ushapagawakulala haulali kesho ukiamka utafkiri ulikua unafanya kazi kwenye mradi wa SGR umechoka mpaka ubongo
In Super Villain voice