Hiyo kazi naiweza kabisa, wewe niachie tuBasi jitahidi muangilie Depal asije ng`atwa na mbu
Lete maswaliNina swali....
Sio lazima ni msosi tu anapewa huyu wakienyeji na anakuwa nakilo 9Nani kasema kilo 9 na ww
Kilo 9 wapo ila ni mtu anafuga kwake kuku wakilo9 ni hawa wanitwa kuku wajinga ambao unaweza muacha ubungo ukaenda kibaha ukarudi ukamkuta palepale na wengi hua weupe
Na anachukua muda sana kufika hatua ile
Kijijini nan atafuga hao kuku ss


Comment yake ya kwanza kwenye huu Uzi ni Oct 27 mwaka huu.wakati me nilikuwa nishautelekeza huu Uzi
Huyo alitukuta sema amekuwa active sanaComment yake ya kwanza kwenye huu Uzi ni Oct 27 mwaka huu. 😎 wakati me nilikuwa nishautelekeza huu Uzi
Uliza tu.Nina swali....
Yupo kazini.Demiss noma sana.
Mashaka gani mkuu
Hata kumchinja hasumbuiNani kasema kilo 9 na ww
Kilo 9 wapo ila ni mtu anafuga kwake kuku wakilo9 ni hawa wanitwa kuku wajinga ambao unaweza muacha ubungo ukaenda kibaha ukarudi ukamkuta palepale na wengi hua weupe
Na anachukua muda sana kufika hatua ile
Kijijini nan atafuga hao kuku ss
Nakwambia hv hautajuta watu wanamazao hawana nguoBasi ngoja niende ilala nikabebe second hand clothes niingie mzigoni singida

Anakuwa mzito kukimbia hawezi.Hata kumchinja hasumbui
Swaliii nasubiri niliskieNina swali....
Kitengo kileYupo kazini.
Mengine tuwaachie great thinker
Lete maswali
Ila hiyo mzee Jpm alipiga marufu jero na bukuNitumie usingizi basi hata wa buku jero
Duuh nisawa ila lazima ujue soko lake liko wapi,kama hao kuku uwe angalau na hotel unapelekaNakwambia hv hautajuta watu wanamazao hawana nguo
Nenda hata iramba watakupa alizeti au mahindi
Au subiri mwakani msimu wa vitunguu uishe
Nenda utakuta watu wanakuja na kuku wanauza mpaka elfu3 uliosema ss huy ondo umpe nguo akunyime vitunguu hata gunia 2 lweli?!![]()

Haya mabishano sikutegemea yange kimbiza muda hv saa 0206