Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
😆😆😆 kamegwa kisela kwahiyo?Nipo nae lindon sema kaja na dalili zote kamegwa
😆😆😆 kamegwa kisela kwahiyo?Nipo nae lindon sema kaja na dalili zote kamegwa
Tumia miwani.....mimi ni mwathirika wa macho ninavaa miwani kisa movie..juani macho yanatoa machoziii tuKazi yenyewe unashindia pc tu bira saiz ndio nimemaliza sasa nipo likizo.
Kashtuka kutoka ndotoni alafu karudi tena usingizini![]()
Sio kisela ndugu yangu,kachezea sana moyo unaumaaaakamegwa kisela kwahiyo?
Goddess kashakimbia?
😆😆😆😆 kwahiyo unachukua hatuagani sasa?Sio kisela ndugu yangu,kachezea sana moyo unaumaaaa
Nini hivyo hivyo
Kujihami ni muhimu mkuu,kuna bi mdogo wangu mmoja alikuwa na hilo tatizo na alikuwa anavaa miwani baada ya kukutana na mimi na kumuwekea mazingira ya kuwa bize na kuacha kutumia muda mwingi kwenye vitu vya mwanga....sasa hivi hata miwani havai tenaKazi yenyewe unashindia pc tu bira saiz ndio nimemaliza sasa nipo likizo.
Mvua inabembeleza watu hii haiwezi kukata saiz alafu.
Always suspect hucheza macho kama yale ya kinyonga
ha ha ha ha haNimegundua mkuu naumia..adui wangu wa kwanza ni boss wanhu,kuna manzi yangu humu boss kapita
Always suspect hucheza macho kama yale ya kinyonga
Mvua inabembeleza watu hii haiwezi kukata saiz alafu.
Kazi inataka computer sasa bola comp hakuna kazi unafanyaje sass hapo tena.Kujihami ni muhimu mkuu,kuna bi mdogo wangu mmoja alikuwa na hilo tatizo na alikuwa anavaa miwani baada ya kukutana na mimi na kumuwekea mazingira ya kuwa bize na kuacha kutumia muda mwingi kwenye vitu vya mwanga....sasa hivi hata miwani havai tena
Ngoja niote moto maana mkuu lindoni baridi sanaMvua inabembeleza watu hii haiwezi kukata saiz alafu.
Ikinyesha mchana watu wanalalamika mishe aziendi kabisa.
Hahahahaha