JamiiForums Usiku wa manane
Mbao raha sema ghali ukiuziwa vile cyakukauka buguruni au tanduka bei cheee ss jidai una design ss utajua
Inategemeana na fundi,kuna fundi wangu ubungo maji pale,bei zake nzuri na mbao zake nzuri pia hasa kwa mtu anayekufahamu anatengeneza kitu kizuri
 
Kupanda mm siogopi ila kushusha ndio naogopa kinoma maana ni blake nyingi mpaka tairi za gari zinanuka tu.
Mwaka fulani nilitoka mbeya mchana pale tulipita kama za 1830,tairi la mbele likapasuka likaanza kuseleleka Princess Muro likaenda kugonga kingo ya road likarudi wasafiri wengi walikuwa wazambia,Congolese na Zimbabwe kelele za mle ilikuwa hatari kila mtu na Mungu wake
 
Mwaka fulani nilitoka mbeya mchana pale tulipita kama za 1830,tairi la mbele likapasuka likaanza kuseleleka Princess Muro likaenda kugonga kingo ya road likarudi wasafiri wengi walikuwa wazambia,Congolese na Zimbabwe kelele za mle ilikuwa hatari kila mtu na Mungu wake
Acha kabisa kama tukio naliona live vile shetani wapale ni kiboko accident muda wote hapo.
 
Mwaka fulani nilitoka mbeya mchana pale tulipita kama za 1830,tairi la mbele likapasuka likaanza kuseleleka Princess Muro likaenda kugonga kingo ya road likarudi wasafiri wengi walikuwa wazambia,Congolese na Zimbabwe kelele za mle ilikuwa hatari kila mtu na Mungu wake
Hahahahaha kufa mchezo unafkiri ugali mtamu sana
 
Sababu ya kua muoga
1.speed ya gari sipendi nilipata ajali sinza kisa kukimbixana gar likafa brake

2. milima aiseeee nilipanda mlima pale mwanga kilimanjaro kwa bodaboda ni inakimbizwa yani nilikua nalia kama mtt mpaka nafika top ya mlima miguu haina nguvu maana nilikua naikaza na sura imejaa machozi mpaka leo mm hata njia ya kinuerezi majumba 6 to malamba ma2 mbe,i nikipita nalia1 nahisi kama ndo nakufa leo imahine unapada mlima kwa lisaa zina au dk45

Uoga kitu kibaya sana
Aisee hiyo ndio short cut ukitoka kimara kwenda kigogo, chanika na goms unataka upite wapi ww ilembona sio milima.
 
Back
Top Bottom