Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,209
- 40,651
Mi nakusaidia bora chini kuliko dabo dekamnigeria unaroho mbaya sana hautaki nilale kitandani kabisa
Mi nakusaidia bora chini kuliko dabo dekamnigeria unaroho mbaya sana hautaki nilale kitandani kabisa
Ah jamaniiiiUtaenda kutia aibu kwa mume huko sasa inabidi tutafute njia mbadala ya kumaliza tatizo.
Acha nionekane mzee tu na mbaoKuna watu wanavisfia sana eti ina fashion mpya na vimekaa kutumika na vijana
Sjui kama huo mkoa nitakuja kwenda au iringa maana napaogopa kitonga naskia panatishahuyo anatakiwa akae hata mbeya hv maana sehemu zile ukilala ulipolala ndio panakuwa najoto ukiama kidogo unakutana na baridi upande wengine wakitanda.
mnigeria unaroho mbaya sana hautaki nilale kitandani kabisa



mkeka unakufaa ww mlalavi.Napaelewa vizuri sanaAaah hapo mafinga baridi utazani kama mvua inanyesha viunyevu unyevu vinadondoka muda wote sio mchezo hapo.
Basi godoro tutafute inch12 ndo zuri kutupa chiniMi nakusaidia bora chini kuliko dabo deka

hata ukianguka hauanguki mbaliSaba tu zile mume anaweza amka akakuta mke haupokitandani kumbe umedondoka upo chini ya uvungu.Ah jamaniiii
Daah umenikumbusha mbali,mikeka daahmkeka unakufaa ww mlalavi.
Mbao raha sema ghaliAcha nionekane mzee tu na mbao
ukiuziwa vile cyakukauka buguruni au tanduka bei cheee ss jidai una design ss utajuaHahaha mikeka ina watu wao wale mbao hawaumiimkeka unakufaa ww mlalavi.
Hamna usiogope bhana mm nilienda huu mwaka mwezi wa 10 kama unaogopa kitonga panda ndege mpaka mbeya.Sjui kama huo mkoa nitakuja kwenda au iringa maana napaogopa kitonga naskia panatisha
Yeah hilo litakufaa kwa kuweka chini...........au nchi sita ili uwe karibu na ardhiBasi godoro tutafute inch12 ndo zuri kutupa chinihata ukianguka hauanguki mbali
Leo nimepita kitongaHamna usiogope bhana mm nilienda huu mwaka mwezi wa 10 kama unaogopa kitonga panda ndege mpaka mbeya.
Balaa lake zito hapo na makambako aaah.Napaelewa vizuri sana
Saba tu zile mume anaweza amka akakuta mke haupokitandani kumbe umedondoka upo chini ya uvungu.



uiii ulaaaniwe villainHamna usiogope bhana mm nilienda huu mwaka mwezi wa 10 kama unaogopa kitonga panda ndege mpaka mbeya.


ndege tausi auWeeeeh ukiwa unaenda wap ukiwa unarudi nipigie picha naskia hua mnakaa kimya woteLeo nimepita kitonga



Kupanda mm siogopi ila kushusha ndio naogopa kinoma maana ni blake nyingi mpaka tairi za gari zinanuka tu.Leo nimepita kitonga