Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,836
Ebu usinichekeee
Ebu usinichekeee
Maana unakuwa unajiona mjinga,huelewi what happened,unabaki kushangaa tuHaaha yani unahamaki ukiwa bado uko hini halagu kuamka ss sio leo
Nilihamaki kama dk2 halafu nikarudi bed nikalala mwisho kabisa ukutani


ulijua umesukumwa nn?Anakoroma huku Ana ng'ata ng'ata meno,hapo mm usingizi inakuwa zeroMtu hukoroma akiwa kalala hali au kalala vibayaunalala tu ukimgusa ananyamaza
Hahahahaha ndo inavyokua eti kesho ukiamka ndo utatafakari usiku ilikuajeMaana unakuwa unajiona mjinga,huelewi what happened,unabaki kushangaa tu
mm kelele sitaki kabisa kitandaniMtu hukoroma akiwa kalala hali au kalala vibayaunalala tu ukimgusa ananyamaza


unakoroma kama radio ukiwa unasearch station bhana.Naleta fundi asaidie kuweka mambo sawaEbu usinichekeee
mm nahama chumba kabisa.Anakoroma huku Ana ng'ata ng'ata meno,hapo mm usingizi inakuwa zero
Maana ni involuntary action,kila ukiwaza hupati majibuHahahahaha ndo inavyokua eti kesho ukiamka ndo utatafakari usiku ilikuaje
Anakoroma huku Ana ng'ata ng'ata meno,hapo mm usingizi inakuwa zero




wengine wanaongea😂😂😂😂mm nahama chumba kabisa.
Naleta fundi asaidie kuweka mambo sawa


aweke double decker fundi.Unatakiwa unamrecord mtu kama huyo monie unamsikilizisha sauti yakewengine wanaongea



Secondary moja nilisoma boarding,kuna rafiki yangu alikuwa anaamka,mambo yote ya mchana anaongea kama dk1 hivi ndiyo anashtuka alikuwa mbishi kesho yake mkimkumbushia,alifariki (RIP) 2008 kabla hajaitimiza ndoto yake daahwengine wanaongea
Ndiyo solution pekee hasa kwa kipindi hiki technology iko juuUnatakiwa unamrecord mtu kama huyo monie unamsikilizisha sauti yake![]()
Yani wakati nandondoka sikuelewa maana nmelewa usingizi ila asubuhi nikakumbuka nilikua nageuka inamaana mwili nusu upo kitandani nusu ndo unaelekea kukaa sawa mguu ukakosa pakushukia ukanyooka chini ndo nikaangukaulijua umesukumwa nn?
Inabidi ujipe majibu tu mwili ulikosa balance nikaangukaMaana ni involuntary action,kila ukiwaza hupati majibu

Secondary moja nilisoma boarding,kuna rafiki yangu alikuwa anaamka,mambo yote ya mchana anaongea kama dk1 hivi ndiyo anashtuka alikuwa mbishi kesho yake mkimkumbushia,alifariki (RIP) 2008 kabla hajaitimiza ndoto yake daah