Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,836
Eh kuumbeeeNetwork busy aliko mkuu
Eh kuumbeeeNetwork busy aliko mkuu
Pole mkuu, itakua kauchovu tuu.Seriously nakuambia sio masihara eti mwili unasisimka mpaka nimeogopa na sio kawaida yangu na hii hali mm siwaginayo kabisa.
😀😀😀😀Lala na kisu umchome nduguyo ndo utakoma
Sio rahisi kuamini kama movie zinavyokuaga mtu anaweza akuambie kitu kaona cha hatari lakini wengine wakawa wanabisha tena wanaelekea huko kwenye hatari kabisa.Hii statement yako mkuu kwasisi wanakiswahili halisia tumeelewa ila kiswahili kingine inaleta utata kidogo
Baadaye ataleta uteteziEh kuumbeee
Nipo pekeyangu nyumba nzima hayupo ndugu yangu.Lala na kisu umchome nduguyo ndo utakoma
Unachrka kama vile unamuona anavyochomachoma
Mtu unaota unakimbizwa,then unadongoka kitandani kama guniaSio rahisi kuamini kama movie zinavyokuaga mtu anaweza akuambie kitu kaona cha hatari lakini wengine wakawa wanabisha tena wanaelekea huko kwenye hatari kabisa.
🤣🤣🤣Unachrka kama vile unamuona anavyochomachoma
Nikikupa mfano utalia ngoja nikuacheNipo pekeyangu nyumba nzima hayupo ndugu yangu.
maana ww unamachozi yakihindiHapana mzee sio sijafanya kazi leo kabisa jana ndio nilifanya kazi ndio nilichoka lakini leo hapana kabisa.Pole mkuu, itakua kauchovu tuu.
Ronny2010 ameshaaga mkuu
Mtu unaota unakimbizwa,then unadongoka kitandani kama gunia
usinikumbushe nilikua nageuka kumbe niko mwosho wa kitanda nilianguka mpaka leo nalala kwa adabuMtu unaota unakimbizwa,then unadongoka kitandani kama gunia




ushaanza habari zako.Atakua kakoromaBaadaye ataleta utetezi
Kachangamsha lindo hapa halafu kapotea