Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,209
- 40,651
😀😀😀aisee unaanza kujishangaa na usingizi unaisha fasterusinikumbushe nilikua nageuka kumbe niko mwosho wa kitanda nilianguka mpaka leo nalala kwa adabu
😀😀😀aisee unaanza kujishangaa na usingizi unaisha fasterusinikumbushe nilikua nageuka kumbe niko mwosho wa kitanda nilianguka mpaka leo nalala kwa adabu
usinikumbushe nilikua nageuka kumbe niko mwosho wa kitanda nilianguka mpaka leo nalala kwa adabu



ww ni mlalavi itabidi uchongewe kitanda chako special ww 8x8Namm nimeona ila nadhani alikuwa anaandaa zana za paliziAhaa, niliona kama amelike some posts mda mfupi uliopita ndio maana...
Unaisha mpaka unabaki umeshangaa kwanzaaisee unaanza kujishangaa na usingizi unaisha faster


Au awekewe kingo pembeni kama madaraja😂ww ni mlalavi itabidi uchongewe kitanda chako special ww 8x8
Hahaha ww acha tu nakwambia watu tunalala kama tunapigana karate ndotoniww ni mlalavi itabidi uchongewe kitanda chako special ww 8x8
Inabidi uwe mpole tuUnaisha mpaka unabaki umeshangaa kwanza![]()
😂😂😂😂Hahaha ww acha tu nakwambia watu tunalala kama tunapigana karate ndotoni
Kwahiyo ukajikung'uta ukarudi kitandani kulala sio 😀 😀 😀usinikumbushe nilikua nageuka kumbe niko mwosho wa kitanda nilianguka mpaka leo nalala kwa adabu
😀😀😀ushaanza habari zako.
Hiyo nikujizoa zoa hadi kwabedKwahiyo ukajikung'uta ukarudi kitandani kulala sio 😀 😀 😀
Hamna namna tutafute fundi tuItapendeza sana![]()
Nilihamaki kama dk2 halafu nikarudi bed nikalala mwisho kabisa ukutaniKwahiyo ukajikung'uta ukarudi kitandani kulala sio 😀 😀 😀
Sipendi mtu mlalavi alafu aweanakoroma sasa ndio silali kabisaHahaha ww acha tu nakwambia watu tunalala kama tunapigana karate ndotoni




Haaha yani unahamaki ukiwa bado uko hini halagu kuamka ss sio leoHiyo nikujizoa zoa hadi kwabed
😂😂😂Nilihamaki kama dk2 halafu nikarudi bed nikalala mwisho kabisa ukutani
Au double decker awekewe awe analala juu kabisa kule ndio dawa ya walalavi.Hamna namna tutafute fundi tu
Mtu hukoroma akiwa kalala hali au kalala vibayaSipendi mtu mlalavi alafu aweanakoroma sasa ndio silali kabisa![]()

unalala tu ukimgusa ananyamaza