JamiiForums Usiku wa manane
Nitafuata ila i hate being on bad terms with people .

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sio kwaniambaya unaweza ukajua ni ww tu unaathiriwa na hizi kelele kumbe haupo pekeyako unaweza fanya ukawa umewasaidia na wengine pia au unakuta wao hawajui kuwa kunawatu wanakuwa victim na kelele zao ukiwaambia itakuwa nzr.
 
Ni kweli unachosema kabisa nitalifanyia kazi hilo
Hii sio kwaniambaya unaweza ukajua ni ww tu unaathiriwa na hizi kelele kumbe haupo pekeyako unaweza fanya ukawa umewasaidia na wengine pia au unakuta wao hawajui kuwa kunawatu wanakuwa victim na kelele zao ukiwaambia itakuwa nzr.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom