Bradha
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 8,786
- 45,266
Unamwambia tuu kiustaarabu kama kelele zinakufikia.Mm hapa wanaamka saa11 unaweza lia
Bado kuna mwingine anamaombi usiku kucha akijiskia anapiga hata week nzima salasaa0000 keshaanza dadeki
Unamwambia tuu kiustaarabu kama kelele zinakufikia.Mm hapa wanaamka saa11 unaweza lia
Bado kuna mwingine anamaombi usiku kucha akijiskia anapiga hata week nzima salasaa0000 keshaanza dadeki
Mambo ya kukatana stimu mtu kama mm nikilala ukiniamsha tu usingizi umekata kuutafuta tena hapo masaa.
Mambo ya kukatana stimu mtu kama mm nikilala ukiniamsha tu usingizi umekata kuutafuta tena hapo masaa.
Watu muda huo pambio limenoga 😊😊😊Yah inasumbua mm nilitamani hadi kuweka sound proof sema ndo hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wallah nikigundua kuwa ni wewe moto nitakaokuwashia hautazimika!Halafu nakuambia siku imeenda vizuri huku 😂😂😂😂
Ngoja tuone kama tutapambana kesho😀😀
#mimiSipoHivyoLakini
Watu muda huo pambio limenoga![]()
Kama hali imezidi na inakukela kama hv unawaambia kwa kuelekezena awakuelewi chuka hatua nenda kwa mjumbe tu wasikutese kihivyo.Hahaha Huwa nashindwa kuwaelewa watu wanaolala huku wameweka muziki mkubwa !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hali imezidi na inakukela kama hv unawaambia kwa kuelekezena awakuelewi chuka hatua nenda kwa mjumbe tu wasikutese kihivyo.
Tumia hiyo njia hapo kwanza niliokushahuri unaweza pata matokeo mazuri jaribu.
Umeshutka ukiwa usingizini? Au ulikuwa macho kitambo?
Tumia hiyo njia hapo kwanza niliokushahuri unaweza pata matokeo mazuri jaribu.
Mkuu Aurora ndo kanishitua usingiziniUmeshutka ukiwa usingizini? Au ulikuwa macho kitambo?
Hii sio kwaniambaya unaweza ukajua ni ww tu unaathiriwa na hizi kelele kumbe haupo pekeyako unaweza fanya ukawa umewasaidia na wengine pia au unakuta wao hawajui kuwa kunawatu wanakuwa victim na kelele zao ukiwaambia itakuwa nzr.
Kvp embu weka vzr maeelezo kwanza 😊😊
Hii sio kwaniambaya unaweza ukajua ni ww tu unaathiriwa na hizi kelele kumbe haupo pekeyako unaweza fanya ukawa umewasaidia na wengine pia au unakuta wao hawajui kuwa kunawatu wanakuwa victim na kelele zao ukiwaambia itakuwa nzr.