Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,836
acha kabisa niliikuta azam one wanaonesha naachaje kuangalia sasa kwa mfano lakini I wish itoke 3 story inaendelea catia alitakiwa kufa thus way akawa amekuja muhuni yule 48.

acha kabisa niliikuta azam one wanaonesha naachaje kuangalia sasa kwa mfano lakini I wish itoke 3 story inaendelea catia alitakiwa kufa thus way akawa amekuja muhuni yule 48.

Yaaani dah nikujiforce kulala tuSaa 3000 asaiv inaingia ipo njiani.
NawaombeeniAhsante, tuombeane na kesho iwe njema.
AminaAhsante, tuombeane na kesho iwe njema.
Mind yako inabidi iweset up kwajili ya usingizi sasa.Yaaani dah nikujiforce kulala tu
Amen.Nawaombeeni
Lazima iwe njema kesho yenu
Alfajiri raha sana aisee sema ndo muda wakuamka
Nataka niiset iniamshe 0500 tizi tiziniiiMind yako inabidi iweset up kwajili ya usingizi sasa.



In sha allahAmen.
I pray changamoto ziishe pia kwetu sote.
Upo karibu na Gym au unafanyia om?Nataka niiset iniamshe 0500 tizi tiziniii![]()
Wanaongea kwa makelele yote, watu wa hvyo siwapendi sijui hua hawaoni kama wanaishi na watuNdo kinachokera yaani hapa nnapoishi lazima saa kumi na mbili waongee huwa naamka kilazima .
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwanja wa mpira ni kukimbia round10-15 znatosha mazoezi ya viungo kidogo kamba kidogo imeisha hioUpo karibu na Gym au unafanyia om?
znagaa kwenda huku umekaaUbarikiwe mpendwa!🙏🏻Nawaombeeni
Lazima iwe njema kesho yenu
my siwezagi hizo nachezaga kikapu changu cha uswailini ndio zoezi langu tu.Uwanja wa mpira ni kukimbia round10-15 znatosha mazoezi ya viungo kidogo kamba kidogo imeisha hio
Gtm zipo mbaliznagaa kwenda huku umekaa
Kwani kimetokea nini?Asante kiongozi.
Kuwaza hakuepukiki, nawaza namna ya kuikabili kesho. Hongera kwa kuwa na siku njema!
Bwana ww si wengine wabantu ebu niachemy siwezagi hizo nachezaga kikapu changu cha uswailini ndio zoezi langu tu.


😂😂 kwani huo ni ukilewa umeambiwa?Bwana ww si wengine wabantu ebu niache![]()
Wanaongea kwa makelele yote, watu wa hvyo siwapendi sijui hua hawaoni kama wanaishi na watu
Unamasaa 4 tu kama ndio huwa unaamka muda huo.Yaani inakera tena saa kumi na mbili ndo hivyo maisha haya tuvumilie hadi tuwe na kwetu .
Sent using Jamii Forums mobile app