Kwa mtazamo wangu unaonekana ww sio muongeaji kabisa acha uwoga kwenye haki yako ongea hakuna wakuongea badala yako unajua.

😀😀 utawaona wakija kufunga lindo saa 0600 huko.Sioni watu lindoni
MTC | 101|![]()
Kwa mtazamo wangu unaonekana ww sio muongeaji kabisa acha uwoga kwenye haki yako ongea hakuna wakuongea badala yako unajua.
Safi sana, tuendelee lindo

Hahahaha, huo sasa sio ulinziutawaona wakija kufunga lindo saa 0600 huko.

Leo ndio umeshakesha hivyo unasaa 3 tu.Okay ndio ni kweli i rarely talk , na ni muoga pia sipendi maneno .sio ktk hilo vitu vingi sisemagi npotezea tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo ndio umeshakesha hivyo unasaa 3 tu.
Dah mm nishaanza piga miayo hapa saa 0400 nitalala naona kabisa.nitalazimisha tu usingizi asubuhi ili nilale zaidi pia nilivyorudi nililala nusu saa hivi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mm nishaanza piga miayo hapa saa 0400 nitalala naona kabisa.
Usiku mwema mkuu, karibu tena lindoni upatapo wasaaGood night buddies.
Poa poa.