JamiiForums Usiku wa manane
Mi ndo rapa naye flow bila beat, nayewapa verse tamu bila risiti/

Nahakikisha kila mmoja nimempa like, naenda kulala jamani nani nimkabidhi kijiti?/

Kwani huji kua usingizi kizungumkuti, yani unaota ndoto umeshika hela ukiamka huikuti/

Nawahi kulala, ili niepuke msala wa kugombea daladala/

Jumatatu kuna foleni jamani sio masihara, boss wangu mkali ukichelewa anakata mshahara/

Natamani kuacha kazi nifungue biashara, naona kama makuzi kufanya kazi na boss uchwara/

Watu8 ndani ya jf usiku wa manane, nina maongezi na wewe njoo tusemezane/

Hivi Chikwuemeka na chiqutitta kwanini wasioane?, majina yao yanafanana ndo sababu imenifanya niseme/


Oyaa mazee! mida basi na hii ndiyo post yangu ya mwisho kwa muda huu tukutane tena baadaye.....

Kila lakheri.....

It's Scars
 
Mi ndo rapa naye flow bila beat, nayewapa verse tamu bila risiti/

Nahakikisha kila mmoja nimempa like, naenda kulala jamani nani nimkabidhi kijiti?/

Kwani huji kua usingizi kizungumkuti, yani unaota ndoto umeshika hela ukiamka huikuti/

Nawahi kulala, ili niepuke msala wa kugombea daladala/

Jumatatu kuna foleni jamani sio masihara, boss wangu mkali ukichelewa anakata mshahara/

Natamani kuacha kazi nifungue biashara, naona kama makuzi kufanya kazi na boss uchwara/

Watu8 ndani ya jf usiku wa manane, nina maongezi na wewe njoo tusemezane/

Hivi Chikwuemeka na chiqutitta kwanini wasioane?, majina yao yanafanana ndo sababu imenifanya niseme/


Oyaa mazee! mida basi na hii ndiyo post yangu ya mwisho kwa muda huu tukutane tena baadaye.....

Kila lakheri.....

It's Scars
Mkuu gudi naiti,tuonane kesho studio jioni maana naona unakipaji
 
Mi ndo rapa naye flow bila beat, nayewapa verse tamu bila risiti/

Nahakikisha kila mmoja nimempa like, naenda kulala jamani nani nimkabidhi kijiti?/

Kwani huji kua usingizi kizungumkuti, yani unaota ndoto umeshika hela ukiamka huikuti/

Nawahi kulala, ili niepuke msala wa kugombea daladala/

Jumatatu kuna foleni jamani sio masihara, boss wangu mkali ukichelewa anakata mshahara/

Natamani kuacha kazi nifungue biashara, naona kama makuzi kufanya kazi na boss uchwara/

Watu8 ndani ya jf usiku wa manane, nina maongezi na wewe njoo tusemezane/

Hivi Chikwuemeka na chiqutitta kwanini wasioane?, majina yao yanafanana ndo sababu imenifanya niseme/


Oyaa mazee! mida basi na hii ndiyo post yangu ya mwisho kwa muda huu tukutane tena baadaye.....

Kila lakheri.....

It's Scars
dah! Umenifanya nicheke kwa sauti usiku huu lol!,

Haya bwana lala salama.
 
Back
Top Bottom